Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

Tunapomwandama mleta mada na kila aina ya matusi,kejeli na vilaana uchwara,ni fundisho tosha mlioko huko makazini. Acheni unonko,heshimuni wafanyakazi wenzenu.

Dunia INA siri nyingi....mnaotukana humu labda hamjawahi kufanya kazi na MTU 'snitch'. Kazi utaiona chungu....

Refer the following.
1. Usiombe ufanye kazi na 'mkenya' mwenye kutaka sifa.
2. Usiombe ufanye kazi na 'mjaluo' mwenye kutaka sifa na cheo.
Kama kufanya kazi kwa bidii kunamletea mtu bonus, marupurupu ya safari, kwa nini na wengine msiongeze ufanisi ili mfaidike?!!
 
Huyu jamaa alifika kazini akawa anajiona yeye ndo yeye. Kazi anaipenda sana kuliko sisi wengine. Basi ikawa kila mfano mzuri boss anamsema yeye. Kila jambo jema mfano yeye.

Jamaa akaanza kupewa pewa safaris nyingi sana. Akawa anapewa bonus kila mara, yaani kiufupi jamaa alianza kupendeza. Akawa anapiga tie, mara suits, anachomekea na siku hizi mnaita Unyakyusa mwingi sana. Nikaliona hili nalo likafikiriwe. Nikawaita wadau kamati ya roho mbaya.

Tukakaa wenyeji, tukajadiliana kuwa huyu dogo mbona kama sisi wenyeji anakosa heshima kwetu. Kaja tunamwona hivi hivi, jamaa mmoja akasema anabonga naye. Akaenda mshtua dogo akajibu yeye si mtu wa majungu kaja kufanya kazi.

Tukarudishiwa taarifa. Basi jamaa mmoja akasema tumpatie pesa fulani atashughulika naye. Akaenda Bagamoyo tu hapo. Wala si mbali.

Yule dogo akaanza kuwa kazini mara haji, akawa anagida sana pombe, anaweza akapotea siku mbili analewa analala bar. Akawa mkorofi kinyama kazini. Mpaka boss anamsemea mbovu. Anasema kwani hii nayo kazi? Basi tu ila yeye si wa kufanya kazi sehemu kama ile.

Tukamwekezea na majungu kinyama, akaharibu ile mbaya pale job. Wakamtimua. Aiseee tulifurahi sana. Tukampongeza fundi wetu kiungo mchezeshaji. Tukabaki wenyewe tu job kwa starehe zetu.

Hizi kazi umekuja umeikuta utaiacha. Usilete kujua saaaaana.watu tumekaa Zanzibar, tumekaa Tanga... tunajua kuishi na watu. Usitake jifanya wewe ndio unafaaanya sana kazi. Mwishowe kazi nayo itakufanya. Muwe mnaheshimu wakubwa. Tunaweza kukufanya kama tulivyomfanya Mashaka Gobwe. Huyu hawezi kutusahau milele... Ishini na watu vizuri.....shauri zenu.
Kama kuna ukweli tunaomba fundi wenu atusaidie kuling'oa li ccm madarakani.
 
Uchawi unaweza kukunufaisha lakini daima ni kwa muda. Kila ulonzi unaofanya siku moja lazima utalipa wewe na kizazi chako hata kama lengo ni kufanikiwa kimaisha tu sio kuumiza mtu.

Tatizo vijana wengi sababu ya mtindo wa maisha hawana mahusiano binafsi na Mungu hivyo kukosa ulinzi. Hata kama unaishi maisha ya dhambi, usiache kuomba toba na ulinzi. Issue sio kwenda Kanisani tu, lazima ujue kuomba ulinzi dhidi ya nguvu za giza kwa maneno yako mwenyewe hata kama ni kwa dk 3 ila omba!

Siku ukijichanganya ukaenda kwa mganga kwasababu yoyote ufahamu kuna maisha mapya umeanza na siku isiyo na jina itakugharimu yumkini hata maisha. Sisi wengine tumeshuhudia mengi na mwisho wake.

Bora senti moja moja za kudumu na kizazi chako kuliko mamilioni ambayo siku isiyo na jina kila mbegu uliyopanda kutokana na waganga itayeyuka labda uwe mchawi wa kudumu na kizazi chako chote.





Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa alifika kazini akawa anajiona yeye ndo yeye. Kazi anaipenda sana kuliko sisi wengine. Basi ikawa kila mfano mzuri boss anamsema yeye. Kila jambo jema mfano yeye.

Jamaa akaanza kupewa pewa safaris nyingi sana. Akawa anapewa bonus kila mara, yaani kiufupi jamaa alianza kupendeza. Akawa anapiga tie, mara suits, anachomekea na siku hizi mnaita Unyakyusa mwingi sana. Nikaliona hili nalo likafikiriwe. Nikawaita wadau kamati ya roho mbaya.

Tukakaa wenyeji, tukajadiliana kuwa huyu dogo mbona kama sisi wenyeji anakosa heshima kwetu. Kaja tunamwona hivi hivi, jamaa mmoja akasema anabonga naye. Akaenda mshtua dogo akajibu yeye si mtu wa majungu kaja kufanya kazi.

Tukarudishiwa taarifa. Basi jamaa mmoja akasema tumpatie pesa fulani atashughulika naye. Akaenda Bagamoyo tu hapo. Wala si mbali.

Yule dogo akaanza kuwa kazini mara haji, akawa anagida sana pombe, anaweza akapotea siku mbili analewa analala bar. Akawa mkorofi kinyama kazini. Mpaka boss anamsemea mbovu. Anasema kwani hii nayo kazi? Basi tu ila yeye si wa kufanya kazi sehemu kama ile.

Tukamwekezea na majungu kinyama, akaharibu ile mbaya pale job. Wakamtimua. Aiseee tulifurahi sana. Tukampongeza fundi wetu kiungo mchezeshaji. Tukabaki wenyewe tu job kwa starehe zetu.

Hizi kazi umekuja umeikuta utaiacha. Usilete kujua saaaaana.watu tumekaa Zanzibar, tumekaa Tanga... tunajua kuishi na watu. Usitake jifanya wewe ndio unafaaanya sana kazi. Mwishowe kazi nayo itakufanya. Muwe mnaheshimu wakubwa. Tunaweza kukufanya kama tulivyomfanya Mashaka Gobwe. Huyu hawezi kutusahau milele... Ishini na watu vizuri.....shauri zenu.
Ukiwa karibu na masikini mvivu jiandae kutolewa ndagu ama kurogwa.
 
Kama kufanya kazi kwa bidii kunamletea mtu bonus, marupurupu ya safari, kwa nini na wengine msiongeze ufanisi ili mfaidike?!!
Hahaaa....aliyekwambia ufanye kazi kwa bidii ni nani? Kutana na wenyeji,kamati chafu,pata mbinu na uzoefu ndo ulete habari za ufanisi. Vinginevyo utakula pini LA hatari. Kwani iko nini????
 
Na uzeeni utachizika..utakua unatembea unaongea peke yako..
 
UKifanya kazi Sector za Elimu nasema level ya vyuo huko juu haya mambo ni nnadra maana kinachokupandisha juu ni Elimu yako na usomi wako hakuna kuingiliana...ila huku kwny vi ji kampuni kampuni uswahili mwingi mnoo
 
Back
Top Bottom