Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni picha yake halisi? Poleni jamani
Ahahahahaha Lucy aliipata fresh that time. Binafsi kipindi kile nilizijua habari za mastaa kupitia kwa binamu. Ndoa ya Irine na ndikumana aliiadithia hapa utadhani yeye ndio alikuwa mshenga, alikuwa anachukia mtu mwingine akileta umbea hapa kabla yakeHahaha binamu umekumbuka vizuri sana jamani: Lucy alikoma siku zile mweeh
Na uzi za updates za miss Tanzania live kuanzia JF kulimfanya sitti mtemvu avuliwe taji la miss TanzaniaDaah ila kipindi kile, acha tu. Mmenifanya nimkumbuke na mrembo by nature na Sepenga wake
1 Peter 2:1Watu kama nyie ndiyo huwa mnafanya Ukristo udharaulike bure. Unafikiri hapa kuwa pengine unashuhudia au unahubiri lakini kimsingi unafanya damage kubwa sana. You are arrogant, spiritually immature and a faith prostitute. Huna tofauti na Mafarisayo na Masadukayo waliokuwa wanamkera Yesu kwa show off zao za kinafiki.
Heshimu hisia za watu, zingatia muktadha na zaidi ya yote onyesha upendo kwa wengine. Hapo utawaleta watu kwa Yesu hata bila kusema neno. Unasikitisha!
Well.Watu kama nyie ndiyo huwa mnafanya Ukristo udharaulike bure. Unafikiri hapa kuwa pengine unashuhudia au unahubiri lakini kimsingi unafanya damage kubwa sana. You are arrogant, spiritually immature and a faith prostitute. Huna tofauti na Mafarisayo na Masadukayo waliokuwa wanamkera Yesu kwa show off zao za kinafiki.
Heshimu hisia za watu, zingatia muktadha na zaidi ya yote onyesha upendo kwa wengine. Hapo utawaleta watu kwa Yesu hata bila kusema neno. Unasikitisha!
Dah umemaliza maana wengi tu wakristo na maandiko tunasoma, huyo atakuwa mlokole asiye na furaha, bitter anayejiona ni msafi kaxi kuhukumu wengineWatu kama nyie ndiyo huwa mnafanya Ukristo udharaulike bure. Unafikiri hapa kuwa pengine unashuhudia au unahubiri lakini kimsingi unafanya damage kubwa sana. You are arrogant, spiritually immature and a faith prostitute. Huna tofauti na Mafarisayo na Masadukayo waliokuwa wanamkera Yesu kwa show off zao za kinafiki.
Heshimu hisia za watu, zingatia muktadha na zaidi ya yote onyesha upendo kwa wengine. Hapo utawaleta watu kwa Yesu hata bila kusema neno. Unasikitisha!
Warumi alikuwa na character yake wallah...Mi hamna muda nilikuwa nacheka nanthread za Warumi kama muda akijigeuka mwenyewe.
Utaona
"Ila mi mmbea jamani ,uuuuwih.
Mi mbeeea mbeaaaa, sijui nilizaliwa lini mbwa mimi"
Af anaendelea na ubuyu
Hakyamama nilikuwa nachekaaaa nacheka.
Daaaah udongo unakula huu.
Ahahahahaha Lucy aliipata fresh that time. Binafsi kipindi kile nilizijua habari za mastaa kupitia kwa binamu. Ndoa ya Irine na ndikumana aliiadithia hapa utadhani yeye ndio alikuwa mshenga, alikuwa anachukia mtu mwingine akileta umbea hapa kabla yake
Kweli aisee, na ni mambo mengi tu yanaanzia JFNa uzi za updates za miss Tanzania live kuanzia JF kulimfanya sitti mtemvu avuliwe taji la miss Tanzania
You are welcome Mtumishi. Huyo jamaa anaboa sana. I couldn't resist. Kwenye msiba yeye ndo amekazana kuhukumu watu na kujivuna kiimani. Who does that?I love you; thank you.
Hekima Mtumishi: hekima.You are welcome Mtumishi. Huyo jamaa anaboa sana. I couldn't resist. Kwenye msiba yeye ndo amekazana kuhukumu watu na kujivuna kiimani. Who does that?
Tuendelee na maombolezo mtumishi. Huyo Farisayo yupo zake salama katika permanent iginoa list pamoja na "watakatifu" wenzake huko. Hana madhara!Hekima Mtumishi: hekima.
Yakobo 1:5 Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.
Onyesha kosa usihukumu kosa! Unachokifanya kwenye uzi huu ni kuhukumu ambapo ni kazi ya Mungu so unataka kujiringanisha na Mungu technically Unakufuru na uko unajichotea dhambi za kutosha.Mimi sina dhambi nimemwamini Yesu.
Na kila anaemwamini anapata ondoleo la dhambi.
Acts 10:43
Huyo manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake kila amwaminiye atapata ondoleo la dhambi.
Karibu na ww upate ondoleo la dhambi ni bure hakuna tozo.
Karibu
[12]Si kwamba nimekwisha kufika, au nimekwisha kuwa mkamilifu; la! Bali nakaza mwendo ili nipate kulishika lile ambalo kwa ajili yake nimeshikwa na Kristo Yesu.Wafilipi 3:12-13