TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
Apumzike kwa Amani inauma sana aisee haya Maisha yetu ni mafupi sanaa...!!
 
images (3).jpeg
 
Hahaha binamu umekumbuka vizuri sana jamani: Lucy alikoma siku zile mweeh
Ahahahahaha Lucy aliipata fresh that time. Binafsi kipindi kile nilizijua habari za mastaa kupitia kwa binamu. Ndoa ya Irine na ndikumana aliiadithia hapa utadhani yeye ndio alikuwa mshenga, alikuwa anachukia mtu mwingine akileta umbea hapa kabla yake
 
Watu kama nyie ndiyo huwa mnafanya Ukristo udharaulike bure. Unafikiri hapa kuwa pengine unashuhudia au unahubiri lakini kimsingi unafanya damage kubwa sana. You are arrogant, spiritually immature and a faith prostitute. Huna tofauti na Mafarisayo na Masadukayo waliokuwa wanamkera Yesu kwa show off zao za kinafiki.

Heshimu hisia za watu, zingatia muktadha na zaidi ya yote onyesha upendo kwa wengine. Hapo utawaleta watu kwa Yesu hata bila kusema neno. Unasikitisha!
1 Peter 2:1
Kwa sababu ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba kwa kutenda mema mzibe vinywa vya ujinga vya watu wapumbavu;


Unaeza ukanionyesha chuki niliyoionyesha kwa hao unaodhani nimewachukia?
Kuna qoutes zangu kadhaa zipo hata sasa, ni qoute sentens ya chuki niliyo type kwa mtu.
Watu kama nyie ndiyo huwa mnafanya Ukristo udharaulike bure. Unafikiri hapa kuwa pengine unashuhudia au unahubiri lakini kimsingi unafanya damage kubwa sana. You are arrogant, spiritually immature and a faith prostitute. Huna tofauti na Mafarisayo na Masadukayo waliokuwa wanamkera Yesu kwa show off zao za kinafiki.

Heshimu hisia za watu, zingatia muktadha na zaidi ya yote onyesha upendo kwa wengine. Hapo utawaleta watu kwa Yesu hata bila kusema neno. Unasikitisha!
Well.
Sijafikiri unavyofikiri ww,
Unaefikiri nashuhudia au nahubiri ni ww,sio mimi.
Na hiyo damage ni dhana ya kwako si ya kwangu.

Lkn pia Naomba unionyeshe nlipo onyesha chuki kwa hao unaotaka nionyeshe upendo kwao.
Kuna quotes kadhaa ni me type pale nilipo mtukana au kuonyesha chuki yeyote unaeza ni quote tuanzie hapo.
Kama hamna basi ni mnafiki,endelea na maombolezo kisha uje uhubiri kma unavyotaka ww.
 
Watu kama nyie ndiyo huwa mnafanya Ukristo udharaulike bure. Unafikiri hapa kuwa pengine unashuhudia au unahubiri lakini kimsingi unafanya damage kubwa sana. You are arrogant, spiritually immature and a faith prostitute. Huna tofauti na Mafarisayo na Masadukayo waliokuwa wanamkera Yesu kwa show off zao za kinafiki.

Heshimu hisia za watu, zingatia muktadha na zaidi ya yote onyesha upendo kwa wengine. Hapo utawaleta watu kwa Yesu hata bila kusema neno. Unasikitisha!
Dah umemaliza maana wengi tu wakristo na maandiko tunasoma, huyo atakuwa mlokole asiye na furaha, bitter anayejiona ni msafi kaxi kuhukumu wengine
 
Mi hamna muda nilikuwa nacheka nanthread za Warumi kama muda akijigeuka mwenyewe.
Utaona
"Ila mi mmbea jamani ,uuuuwih.
Mi mbeeea mbeaaaa, sijui nilizaliwa lini mbwa mimi"


Af anaendelea na ubuyu
Hakyamama nilikuwa nachekaaaa nacheka.
Daaaah udongo unakula huu.
Warumi alikuwa na character yake wallah...
Go well warumi...ulijua kuchangamsha jukwaa kwa umbea...
 
Hahaha he was so fun maskini daah; He will surely be missed
Ahahahahaha Lucy aliipata fresh that time. Binafsi kipindi kile nilizijua habari za mastaa kupitia kwa binamu. Ndoa ya Irine na ndikumana aliiadithia hapa utadhani yeye ndio alikuwa mshenga, alikuwa anachukia mtu mwingine akileta umbea hapa kabla yake
 
You are welcome Mtumishi. Huyo jamaa anaboa sana. I couldn't resist. Kwenye msiba yeye ndo amekazana kuhukumu watu na kujivuna kiimani. Who does that?
Hekima Mtumishi: hekima.

Yakobo 1:5 Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.
 
Mimi sina dhambi nimemwamini Yesu.
Na kila anaemwamini anapata ondoleo la dhambi.
Acts 10:43
Huyo manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake kila amwaminiye atapata ondoleo la dhambi.
Karibu na ww upate ondoleo la dhambi ni bure hakuna tozo.
Karibu
Onyesha kosa usihukumu kosa! Unachokifanya kwenye uzi huu ni kuhukumu ambapo ni kazi ya Mungu so unataka kujiringanisha na Mungu technically Unakufuru na uko unajichotea dhambi za kutosha.

Sad enough unapindisha maandiko kwamakusudi kabisa ili kulasimisha upuuzi wako. Mungu anasema hakuna mkamilifu na kutokuwa wakamilifu ndio kunatufanya tuwe wanadamu. Sasa wewe usie na dhambi upo duniani kufanyeje si ungekua na malaika huko.
Kama Marehemu alimua mkosaji hujui nyakati za mwisho wa uhai wake aliagana nini na Muumba wake...Trust me kuna uwezekano walokole kujaa motoni kuliko wapagani ajili ya unafki,majivuno na kujiona first class mbele za Mungu

You're not helping anything so you better stop or you'll be stopped...!!
Lastly...Wote tuombe mwisho mwema maana ndio kinacho-matter since wote tupo wakosaji na wadhaifu mbele za Muumba
Wafilipi 3:12-13
[12]Si kwamba nimekwisha kufika, au nimekwisha kuwa mkamilifu; la! Bali nakaza mwendo ili nipate kulishika lile ambalo kwa ajili yake nimeshikwa na Kristo Yesu.
[13]Ndugu, sijidhanii nafsi yangu kwamba nimekwisha kushika; ila natenda neno moja tu; nikiyasahau yaliyo nyuma, nikiyachuchumilia yaliyo mbele;
 
Apumzike kwa amani ndugu yetu.
Sina kumbukumbu kama aliwahi kututonya kuwa anaumwa.
Natambua ugonjwa ni privacy ila yawezekana angesema, JF ni familia kubwa, kuna madaktri na wenye moyo wa kutoa. Labda tunge refusha maisha yake japo kwa muda mfupi.
RIP warumi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom