ibramy
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 642
- 967
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nakumbukaga daahh!Mungu amuweke rehmani kwa kweli!nafsi inauma sana!Hahaa hivi ndiyo tuliambiwa Dina anauza samaki Mwanza; tukawa tunamtania atutumie samaki. Daah aisee[emoji38][emoji38]
Yaani kiukweli tuwe na tendency ya kujuliana hali maana mtu anakufa wengine hatujui...ya rraabbi!Na kweli ule umbeya woote kule hakutia neno kiasi ikawa inatushangaza kumbe alikuwa anapigania afya yake........pole Sana kwa familia halisi na familia ya jf hususani wanaubuyu
Sijachafukwa na roho ila kila jambo na muktadha wake na mahali pake, maandiko yenyewe yasema lieni na wanaoliaMy dear kama umechafukwa na roho sio wote..ni ww
2 Corinthians 1:12
Kwa maana kujisifu kwangu ni huku, ushuhuda wa dhamiri yetu, ya kwamba kwa utakatifu na weupe wa moyo utokao kwa Mungu; si kwa hekima ya mwili, bali kwa neema ya Mungu;
I wish to be there muhimbili karibu sana yaani!please mlio karibu muende kumuaga our friend!Update.
Kesho binamu anaagwa Muhimbili saa nane mchana.
Ngoja nimtafute NifahR.I.P binamu. Uliweza kuchangamsha jukwaa. Sijui kama Nifah anazo hizi taarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jukwaa letu pendwa la umbea limepata pigo kubwa sana.
Kwa unafiki uliomo humu,, hata niumwe vipi siwezi kuja humu kuomba msaada, kwa jinsi alivyokuwa anatambulika humu na vile vichambo vyake, angeleta habari za kuumwa kwake angekufa kabla ya JanaApumzike kwa amani ndugu yetu.
Sina kumbukumbu kama aliwahi kututonya kuwa anaumwa.
Natambua ugonjwa ni privacy ila yawezekana angesema, JF ni familia kubwa, kuna madaktri na wenye moyo wa kutoa. Labda tunge refusha maisha yake japo kwa muda mfupi.
RIP warumi
Kuna Wema pia,ingawa wapo wangefanya ndo fimbo kumhukumu pia siku kaponaKwa unafiki uliomo humu,, hata niumwe vipi siwezi kuja humu kuomba msaada, kwa jinsi alivyokuwa anatambulika humu na vile vichambo vyake, angeleta habari za kuumwa kwake angekufa kabla ya Jana
Ni wachache sana wenye utu humu
Wema wapo ila ni wachache mno, katika 10 waweza kupata wawili au mmoja, humu jf, kwani thread za kuomba misaada zipo ngapi? Kasome maoni ya wadau, nachoelewa Ni km mtu hujaamini ombi lake heri ukalipuuza tu sio kudhihaki, kukashfu na kukufuru na hizo ndo tabia zilizotamalaki humuKuna Wema pia,ingawa wapo wangefanya ndo fimbo kumhukumu pia siku kapona
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Patakapokuwa na uzima nitakwenda kumuaga na kumpiga jicho la mwishoUpdate.
Kesho binamu anaagwa Muhimbili saa nane mchana.
Same hereVery likely yes.
Mi nikiwa active JF ,ndo muda niko na very hard moments.
So hii ni Get away ya wengi
Usisahau kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari zote [emoji1545]Patakapokuwa na uzima nitakwenda kumuaga na kumpiga jicho la mwisho
Hakika na ahsante kwa kujali na kukumbushaUsisahau kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari zote [emoji1545]