Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwa nini ila nitakuwa wa mwisho kuamini alikuwa mkaka...ila yawezekana kama style za akina Kumbuka..Hahaha he was so fun maskini daah; He will surely be missed
Mbeya sehemu gani ili tuliopo huku tuweze kushirikiMungu akipenda tutawawakilisha msibani huku Mbeya
unishindi mimiDahh!!!!! Nimeumia jamanii!!
aimenApumzike mahala pema.
Mko wapi nyie mi Niko hapa wanaingiza maiti kwenye gari mda huu!Uko wapi kwani?
Amu mko wapi?!!Familia ishaingia kwa gari kuanza msafara.
Mlioko mbeya nimechukua namba ya dereva na namba za ndugu pia.
Naomba mtushike mkono kama sisi huku.
Binamu yetu hayupo tena
Poleni sana, we will definitely miss him for sure.Ni mkaka nimefurahi kumsindikiza binamu yangu!! Mungu awatangulie wanaosafiri na msiba
Mbarikiwe Sana kwa moyo wenu wa upendo..Tumemkabidhi dada Atu dada yake na binamu sh 215,000.
HOE jana aliacha msibani sh 20,000.
Jumla 235,000.
Dah, binamu ndio anaiacha dar hivyo jamani 😭 😭 😭Tumemkabidhi dada Atu dada yake na binamu sh 215,000.
HOE jana aliacha msibani sh 20,000.
Jumla 235,000.
Sema mwili sio maiti..Mko wapi nyie mi Niko hapa wanaingiza maiti kwenye gari mda huu!
Heee kaka tuheshimiane kila mtu mpaka aseme anachanga au hachangi?Toa mchango acha blah blah!