Ushauri wako ni mbovuOpppsssss R.I.P warumi
Tutamiss stori zake za skendo zinazohusu watu maarufu
Apumzike kwa amani.
Pole kwa familia; nashauri wakati mwingine ikipatikana taarifa ya mgonjwa hapa JF itolewe taarifa; wanafamilia wa JF wanaweza kusaidia au hata kwenda kumjulia hali
Mkuu,Life is meaningful ,make the most out of it,Warumi huyu huyu
RIP
Life is meaningless
Kwa kweli inabidi apewe pole nyingi maana ni mdau wakePole kwa msiba
Aaaamin🙏Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea mwanga wa milele ukuangazie Warumi.