TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
Daah ila kipindi kile, acha tu. Mmenifanya nimkumbuke na mrembo by nature na Sepenga wake
[emoji38][emoji38][emoji38]acha kabisaa...nammis sana binamu Mungu ampe pumziko!kipindi kile ilikua hot Sana'a!warumi na matola kaahh!acha kabisa...

Na ile ya kuambiana ndo aliua bendi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Daah mnakumbuka kipindi kile Lucy Komba ndiyo kafunga ndoa na mzungu wake, kavaa gauni kama anapata komunio, na akaingia na Samsung yake kwenye boat. Jamani zile comments
Yani ni mixed feelings, huku nakumbuka mambo yake nacheka, huku nakumbuka tena he is no more machozi yananilenga.... Matola pekee ndio alikuaga kiboko ya warumi, binamu jamani
Ndo na mi kinachonikuta.
Nakumbuka vitu nacheka, af nikikumbuka kuwa hayupo tena, kilio.
Hata sielewi.

Matola alitoshana nguvu na warumi.
Thread tulikuwa tunawaachia wao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwapa taarifa ya mdau mwenzetu humu anayeitwa warumi amefariki usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapambana kwa ugonjwa wa figo.

Warumi alikuwa kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 29.

Taarifa hii nimepewa na dada yake mda huu, msiba unaelekea kwao Tegeta .


UPDATE:
Msiba upo Tegeta Nyuki, ukifika Stand unachukua boda au bajaj unawaambia wakupeleke nyumbani kwa Kiboko, maana msiba upo opposite na utaona geti jeusi liko wazi - ingia.

Msiba utasafirishwa kwenda Mbeya, Nonde Mabatini. Mipango inapangwa, taarifa zaidi zitakuja jioni.
Duh. RIP mtu wa ubuyu wa JF. Tutammisi sana
 
Kuna siku alimind akasusa kutoa ubuyu, analalamika anahangaika kupata umbea anaenda hadi mbali kwa garama zake kutafuta umbea analeta halafu tunakuja kumuita muongo, ameenda hadi nyumbani kwa wema kuwachungulia wema na diamond dirishani afu tunamuita muongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha tuanze kumbembeleza. Yaani i can imagine angeweza kusoma hizi comments leo jukwaa lilivyozizima ; angetuchamba "mbwa nyie, niliwaambia hakuna warumi, mmeamini eeh".
 
mkuu mbn humu JF tunafahamiana wengi tu ni wewe tu km utaamua kuishi safi na wengne
mfn. mm nilimfahamu mshanajr humu jamiiforum
lkn tulikuja kuwa washkaji nikaifahamu mpk familia yake na mpaka kwangu ninapoishi alikuja
ninachokushauri usiwe mropokaji wa maneno ya hovyo kwa watu
hapo awali mm na mshana tulikuwa hatuelewani nilikuwa namuattack kwa ID nyingne na siyete tu wengi tu lkn mwisho akaja kuwa mshikaji
mpk leo ile ID siitumii ilikuwa ni ya ujinga mwingi

humu JF kuna watu wanaroho nzuri mno
ambapo serious ikatokea ukwakwama ni rahisi kusaidiwa

hvyo nawashauri WANAJF wenzangu ikiwa mmetofautiana kimtazamo
msiwe na maneno ya kukwazana kwa mwezako humjui nje ipo siku utahitaji msaada ambao yeye ni rahisi kukupatia au kukupa connection
Word !!
 
Kwa kweli japo wengine hatujawahi kufahamiana naye nje ya hapa; ili atugusa nyoyo zetu kwa umbea wake exclusive.
Yaniiiii, mi nilishajitengenezea na sauti yake kichwani, nilishatengeneza uso wake.
Af nikawa very much ok akiwa tha anony.
Dah, kesho nikamuage nimuone at last rafiki.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Matthew 5:22
Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu yake hasira itampasa hukumu; na mtu akimfyolea ndugu yake, itampasa baraza; na mtu akimwapiza, itampasa jehanum ya moto.
We lete hashuo za ng'onda.
Endelea.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom