TANZIA Mwanachama na mfanyakazi wa JamiiForums, Dotto Mnzava afariki dunia kwa ajali ya pikipiki

TANZIA Mwanachama na mfanyakazi wa JamiiForums, Dotto Mnzava afariki dunia kwa ajali ya pikipiki

Status
Not open for further replies.
Masaa sita yaliyopita kapost tweet hizi eti sasa hivi anaitwa marehemu, duh kweli hakuna anayejua siku wala saa. Nakuombea kwa Mungu akupumzishe kwa amani Dotto Mnzava.

attachment.php
 

Attachments

  • tweetsdotto.jpg
    tweetsdotto.jpg
    17.8 KB · Views: 1,361
Until we take our final breath you will live in our heart, your love will light our way. Your memory will forever be with us and we will always love you!
 
Ajali ilikua mbaya.

Yeye ni mwandishi wa habari, alikua anaenda kwenye press maeneo ya Posta.

Kutokana na foleni za Dar ikabidi achukue boda boda.

Walichomekewa wakaanguka. Yeye alianguka barabarani gari ikampitia kichwani.
 
Ajali ilikua mbaya.

Yeye ni mwandishi wa habari, alikua anaenda kwenye press maeneo ya Posta.

Kutokana na foleni za Dar ikabidi achukue boda boda.

Walichomekewa wakaanguka. Yeye alianguka barabarani gari ikampitia kichwani.
So sad
 
Tusijesema sana tukaja pata Laana... Dotto Mnzava umezimika kama mshumaa brother.
 
Last edited by a moderator:
IMG-20151214-WA0035.jpg


BLOGGER chipukizi nchini Dotto Mzava, amefariki Dunia katika ajali ya barabarani Desemba 14, 2015 hapa jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mwenyekiti wa Mtandao wa Bloggers Nchini, (TBN), ambao marehemu alikuwa ni mwanachama wake, Bw. Joackim Mushi amesema Dotto ambaye alikuwa akifanyia kazi Jamii Media (Wamiliki wa mtandao wa
JamiiForums na Fikra Pevu, amefariki kwa ajali ya pikipiki ingawa haikuelezwa ajali hiyo imetokea maeneo gani hasa ya jiji la Dar es Salaam.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe Amin.

SOURCE: MICHUZI MEDIA


 
Ajali ilikua mbaya.

Yeye ni mwandishi wa habari, alikua anaenda kwenye press maeneo ya Posta.

Kutokana na foleni za Dar ikabidi achukue boda boda.

Walichomekewa wakaanguka. Yeye alianguka barabarani gari ikampitia kichwani.

Dah!Speechless
 
Naomba Mungu ampumzishe mahali pema huko Mbinguni na awape nguvu na uvumilivu wafiwa.
 
Wapendwa wana Jf, ni masikitiko makubwa kuwajulisha kifo cha member mwenzetu hapa Jf Dotto Mnzava kilichotokea leo mchana saa 8 baada ya kupata ajari ya Pikipiki maeneo ya Victoria jijini Dar.


Mwili wa marehemu umehifadhiwa ktk hospital ya mwananyamala kusubiri taratibu zitakazofata.

Pumzika kwa amani rafiki yangu Dotto.

Dah nimekutana na hii ajali mida ya saa nane pale victoria inasikiyisha sana
R.I.P Doto
 
Pumzika Kwa Amani Dotto Mnzava. Poleni sana wanafamilia. R.I.P.
 
Maisha yanakamilishwa na kifo na kifo hakiachi kutuumiza na Sasa kinatuumiza kupitia komredi mwenzetu! Pumzika Dotto maisha umeyakamilisha!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom