kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Chadema ilipasa kuwa mfano katika kuonesha maendeleo kwakuwa na ofisi zakisasa watazoweza kukaa na kupanga mikakati iliyonyooka sio gofu kama la kuvutia bangi... kwenye ukweli usemwe ukweli...
Huyo kambaya wamtizame anapenda migogoro uko kafu katibua asipewe tuu mavyeo bila kumtathmini vyema!
Kuwa na Upinzani imara ni dalili ya taifa lililoerevuka na kichocheo cha maendeleo kwa taifa. Majinga hayajui iyo.
Nb. Kwasasa kuhusu Urais tupo namama msipoteze hata nguvu nyie ubunge kwanza
Huyo kambaya wamtizame anapenda migogoro uko kafu katibua asipewe tuu mavyeo bila kumtathmini vyema!
Kuwa na Upinzani imara ni dalili ya taifa lililoerevuka na kichocheo cha maendeleo kwa taifa. Majinga hayajui iyo.
Nb. Kwasasa kuhusu Urais tupo namama msipoteze hata nguvu nyie ubunge kwanza