Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kuuliza hili swali pia
Pumzika kwa Amani ...poleni ndugu jamaa marafiki na wa JF .MUNGU AWAPE FARAJA
Leo nitajua I'd zote sichezi mbali, Jessy apumzike kwa amani.Watu tuna connection nje ya kuandika hapa mkuu
Miaka 17 tangu alipoanza kunywa ARV. Na inaonyesha alizaliwa nao...Kwahiyo 2021 alikuwa na miaka 17, ghafla leo ana miaka 32?!
Unamaanisha nini MkuuDuhhhh....
Nimepata mshtuko mkubwa sana, sema basi tu wanaume tunatembea na mengi vifuani
Basi tu mkuu, yaani ndio hivyo tena hata sielewi...🙄Unamaanisha nini Mkuu
Anatumia tangu kuzaliwa kwahiyo amezaliwa miaka 17 iliyopita?Miaka 17 tangu alipoanza kunywa ARV. Na inaonyesha alizaliwa nao...
Pole ya nn? Ulipita nae au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apumzike kwa amani mwali, naombeni mnipe pole...[emoji25]
Mkuu, mbona friji lako haligandishi...🙄🙄Pole ya nn? Ulipita nae au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]