Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Tuna fahamiana nje ya jf mkuuHuwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna fahamiana nje ya jf mkuuHuwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?
We jamaa huwa unakichwa kigumu sana, mtu kashafariki unaanza kumchunguza ili ikusaidie nini?Anatumia tangu kuzaliwa kwahiyo amezaliwa miaka 17 iliyopita?
Mkuu kuna maisha baada ya behind the keyboard ya jf, watu tunafahamiana humu, wengine hufikia hadi kuoana. Je watashindwa kufahamu kama mwenzetu kapatwa na tatizo?.lazima kuna atakayekua na taarifa. Unless hufahamiani kabisa na watu humu.Huwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?
Mkuu inatokea tumefahamiana humu, then tukua marafiki huku mitaani kwetu, je ukisikia nimepata tatizo hutojua ni id hii kweli?Nami inanichanganya sana.
@miss chaga haonekani muda mrefu, Kuna mwenye taarifa zake? Kama upo jitokeze.Daaah aisee watu wanazidi kututoka nawaza kwa hizi id fake tumewapoteza wengi ila hatujapata taarifa kutokana na u-anonymous tuliojiwekea
R.I.P
Funguka ukweli, tunapiga peku kwa sana.Basi tu mkuu, yaani ndio hivyo tena hata sielewi...🙄
Yupo@miss chaga haonekani muda mrefu, Kuna mwenye taarifa zake? Kama upo jitokeze.
Unakaza shingo tu ila umeelewa sana tu kilichomaanishwa.Anatumia tangu kuzaliwa kwahiyo amezaliwa miaka 17 iliyopita?
[emoji24][emoji24] Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya Jike ShupaTumepokea kwa masikito makubwa taarifa za kifo cha mwenzetu jikeshupa ambaye alikuwa mwanachama wa JF Tunatoa Poleni nyingi kwa Familia yake pamoja na marafiki zake na ndugu na Jamaa ambayo wameguswa na huu msiba. jikeshupa amefariki asubuhi ya leo katika Hospital ya Kcmc Mkoani Kilimanjaro alipokuwa anapata matibabu . Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Unga LTD Arusha. Mungu ampe pumziko la milele
Ni mmojawapo kati ya post zake hakuogopa kusema ukweli.
View attachment 2105741
Siku ukifa nitakuja kutoa taarifa huku JF hivyo ondoa hofuRest In Peace Dada.
Asante kwa taarifa, kazeeka Sana hawezi kuchangia Tena humu jf? Mimi pia muhenga.Yupo