cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Umeme hakna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee anza dose mapemaaMkuu, mbona friji lako haligandishi...[emoji849][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeme hakna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee anza dose mapemaaMkuu, mbona friji lako haligandishi...[emoji849][emoji849]
Mkuu tuliza akili, kuelewa inahitaji utulivu sio jambo rahisiKwahiyo 2021 alikuwa na miaka 17, ghafla leo ana miaka 32?!
Hajambo mkuu, ni ubze umempoteza@miss chaga haonekani muda mrefu, Kuna mwenye taarifa zake? Kama upo jitokeze.
Sijui kama members wana backup yeyote nje ya hapa ambayo ingeweza kusaidia kuleta feedback kwa ukimya wa wadau@miss chaga haonekani muda mrefu, Kuna mwenye taarifa zake? Kama upo jitokeze.
Tunajuana sana tu humuHuwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?
Either ana miaka 32 au miaka 17, iwekwe sawaUnakaza shingo tu ila umeelewa sana tu kilichomaanishwa.
Sasa tutajuaje kama umekufa mkuu??Sijui kama members wana backup yeyote nje ya hapa ambayo ingeweza kusaidia kuleta feedback kwa ukimya wa wadau
Mi nikifa mchekini mawenge atawapa utaratibu wa namna ya kulipata daftari la mchango
Hujalewa. Mpaka 2021 ilikuwa mwaka wa 17 akitumia ARvsKwahiyo 2021 alikuwa na miaka 17, ghafla leo ana miaka 32?!
😳Sasa tutajuaje kama umekufa mkuu??
Rest In PeaceTumepokea kwa masikito makubwa taarifa za kifo cha mwenzetu jikeshupa ambaye alikuwa mwanachama wa JF Tunatoa Poleni nyingi kwa Familia yake pamoja na marafiki zake na ndugu na Jamaa ambayo wameguswa na huu msiba. jikeshupa amefariki asubuhi ya leo katika Hospital ya Kcmc Mkoani Kilimanjaro alipokuwa anapata matibabu . Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Unga LTD Arusha. Mungu ampe pumziko la milele
Ni mmojawapo kati ya post zake hakuogopa kusema ukweli.
View attachment 2105741
Pia amesema anatumia tangu amezaliwa, kwahiyo amezaliwa miaka 17 iliyopita?Hujalewa. Mpaka 2021 ilikuwa mwaka wa 17 akitumia ARvs