Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangulia wewe mkuu sina haraka.Siku ukifa nitakuja kutoa taarifa huku JF hivyo ondoa hofu
apumzike kwa amani jessyPumzika kwa amani Jessy. Wote tu wapitaji duniani hapa[emoji45].
kuifikia na Kuivuka miaka 30 kwa kijana wa sasa ni ngumu mno, Mungu atuongoze tu.View attachment 2105766
Kweli kabisa kuna maisha nje ya JFMkuu kuna maisha baada ya behind the keyboard ya jf, watu tunafahamiana humu, wengine hufikia hadi kuoana. Je watashindwa kufahamu kama mwenzetu kapatwa na tatizo?.lazima kuna atakayekua na taarifa. Unless hufahamiani kabisa na watu humu.
Pole kwa mzigo ulioubeba kifuani kwako ndugu yangu.Basi tu mkuu, yaani ndio hivyo tena hata sielewi...[emoji849]
Usijali mjukuu wangu nilikuwa nakutaniaTangulia wewe mkuu sina haraka.
Miaka 17 ya kutumia dawa ndugu...Kwahiyo 2021 alikuwa na miaka 17, ghafla leo ana miaka 32?!
Mwamba mbona umetaharuki sana?Basi tu mkuu, yaani ndio hivyo tena hata sielewi...[emoji849]
Mi siku nikifa ndo basi tena sidhani kama Kuna mtu ataye toa taarifa humuSijui kama members wana backup yeyote nje ya hapa ambayo ingeweza kusaidia kuleta feedback kwa ukimya wa wadau
Mi nikifa mchekini mawenge atawapa utaratibu wa namna ya kulipata daftari la mchango
Na masai dada@miss chaga haonekani muda mrefu, Kuna mwenye taarifa zake? Kama upo jitokeze.
Tunajuana sana tu humu
Sababu hili Jambo limetamalaki shek....Mwamba mbona umetaharuki sana?
Yaani hata sijui itakuaje mkuu...Pole kwa mzigo ulioubeba kifuani kwako ndugu yangu.
Kumbe aliitwa jessyapumzike kwa amani jessy