TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

Mi siku nikifa ndo basi tena sidhani kama Kuna mtu ataye toa taarifa humu
Yani mtaani hakuna mtu anayekujua kua we ni member wa jf kwa ID hii?

Hata mimi niko hivyo hivyo

Ila kwa wewe haitanipa sana shida kujua

Nikiona ukimya kwa muda mrefu kwenye jukwaa la michezo na katika kipindi ambacho simba kafanya vizuri ntaanza kuwa na mashaka
 
Mhubiri 3:1-8 BHN



Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake: Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga; wakati wa kulia na wakati wa kucheka; wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza; wakati wa kutupa mawe na wakati wa kuyakusanya mawe pamoja; wakati wa kukumbatia na wakati wa kuacha kukumbatia; wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza; wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa; wakati wa kurarua na wakati wa kushona; wakati wa kukaa kimya na wakati wa kuongea; wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani.
 
Back
Top Bottom