Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
KweliSababu hili Jambo limetamalaki shek....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KweliSababu hili Jambo limetamalaki shek....
Ni huzuni sana.So sad, binti mdogo jamani, R.I.P Jike shupa😪
Mi nilivyoelewa,tangu aanze kutumia dawa ni miaka 17Kwahiyo 2021 alikuwa na miaka 17, ghafla leo ana miaka 32?!
Tunafahamiana na baadhi ya watu nje ya Jf mkuu.Huwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?
Rudia kusoma na usome vizur afu ndo uulizeAnatumia tangu kuzaliwa kwahiyo amezaliwa miaka 17 iliyopita?
Ninatamani kufahamiana naweMkuu inatokea tumefahamiana humu, then tukua marafiki huku mitaani kwetu, je ukisikia nimepata tatizo hutojua ni id hii kweli?
Are you for real? Haina shida kabisa siku likitokea lolote zuri au baya, basi tunaweza kuleteana taarifa humu kwa wema tu lkn.Ninatamani kufahamiana nawe
Yani mtaani hakuna mtu anayekujua kua we ni member wa jf kwa ID hii?Mi siku nikifa ndo basi tena sidhani kama Kuna mtu ataye toa taarifa humu
Hakika.Are you for real? Haina shida kabisa siku likitokea lolote zuri au baya, basi tunaweza kuleteana taarifa humu kwa wema tu lkn.
Mkiona ukimya wangu wa zaidi ya mwezi, kwa wadau wa instagram nawasihi jaribuni kutembelea page ya joyner lucas, dax au eminem ukiona post yeyote ya kuhusu kifo ujue ni mimi huyoSasa tutajuaje kama umekufa mkuu??
Na Barbara nae hatapost?Mkiona ukimya wangu wa zaidi ya mwezi, kwa wadau wa instagram nawasihi jaribuni kutembelea page ya joyner lucas, dax au eminem ukiona post yeyote ya kuhusu kifo ujue ni mimi huyo
Na twitter ukiingia utaona p mawenge, dizasta vinna, na songa wame retweet post ya kifo changu
nilivyoelewa amekua akitumia ARVs kwa miaka 17Kwahiyo 2021 alikuwa na miaka 17, ghafla leo ana miaka 32?!