TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums - Jikeshupa amefariki dunia

Duh watu wanajuana kabisa, mimi nikifa mtasikia kwenye vyombo vya habari, na mtaona pilika za viongozi kadhaa. Maana sina hakika ila nina imani Rais atahudhuria au kutuma mwakilishi wake
Mbona tunakujua hufahamiki hata na mjumbe wako mtaani
 
Ninachoshangaa mkuu ni kujuana mpaka ID mnayotumia.
Sasa kama kilichofanyanya kufahamiana ni hizi Id fake..kwanini ushangae?

Cha msingi ni kuwa makini na huyo mtu unaefahamiana nae maana kwanza kwanza hamjafahamiana zaidi..

Hakuna haja ya kukaza shingo kutokufahamiana na watu wa humu Jf…again kuwa makini na nani unataka kufahamiana nae
 
Habari za kusikitisha sana, pole kwa familia ya Jikeshupa na jf family.

Sikuwahi kumfahamu hata, ndio nasoma jina lake.
 
Ninachoshangaa mkuu ni kujuana mpaka ID mnayotumia.
Miaka ya 2009 has 2012 tulikuwa tunachangiana harus nakukutana...au tunapanga kutembelea hifidhi flani tunaenda..na kiliwahi anzishwa kikundi Cha kilimo na kununua mashamba huko bagamoyo na mkuranga(jukwaa la kilimo)..JF I'm watching Nia Sana member wake..
Ninachoshangaa mkuu ni kujuana mpaka ID mnayotumia.
 
Multiple organ failure itakuwa imemuondoa binti mbichi kabisa huyu, prolong use of ARV ziliathiri figo kwa kiasi kikubwa.

All in All nikikumbuka nilivyoponea kuambukizwa HIV na memba mmoja wapo humu ndani nikaponea chuchupu hadi sasa sitaki tena kuzamia PM za watu humu ndani (Hiki ni kisa nitakileta kwenu siku yoyote nikipata nafasi) mfahamu ni kwa jinsi gani baadhi ya watu hufanya makusudi kuambukiza watu wengine.

All in all Ukimwi upo na unaua chukua tahadhari.
Usiache kunitag kwenye huo uzi mkuu
 
Tumepokea kwa masikito makubwa taarifa za kifo cha mwenzetu jikeshupa ambaye alikuwa mwanachama wa JF Tunatoa Poleni nyingi kwa Familia yake pamoja na marafiki zake na ndugu na Jamaa ambayo wameguswa na huu msiba. jikeshupa amefariki asubuhi ya leo katika Hospital ya Kcmc Mkoani Kilimanjaro alipokuwa anapata matibabu . Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Unga LTD Arusha. Mungu ampe pumziko la milele
===============Updates
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi nyumbani kwao rombo Keni ibada ya mazishi itaanza saa sita mchana .

View attachment 2106011
RIp Dada
 
Back
Top Bottom