Mbona tunakujua hufahamiki hata na mjumbe wako mtaaniDuh watu wanajuana kabisa, mimi nikifa mtasikia kwenye vyombo vya habari, na mtaona pilika za viongozi kadhaa. Maana sina hakika ila nina imani Rais atahudhuria au kutuma mwakilishi wake
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Yaan wewe ukanijue mimi?Mbona tunakujua hufahamiki hata na mjumbe wako mtaani
Utajua hujui[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Yaan wewe ukanijue mimi?
Mammy we utakua unajua,huyu jikeshupa yupi sasa wa kibaokata?Pumzika kwa amani mpendwa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Utajua hujui
Sasa kama kilichofanyanya kufahamiana ni hizi Id fake..kwanini ushangae?Ninachoshangaa mkuu ni kujuana mpaka ID mnayotumia.
Yes!na kuuombea wakati sahihi wa kufahamianaDefinitely my dear. Sisi tuombe tu uzima
Nasdhani alimaanisha miaka 17 ya kutumia arvs nadhani kabla ya hapo hazikuwepo.Kwahiyo 2021 alikuwa na miaka 17, ghafla leo ana miaka 32?!
Amesema ametumia dawa kwa miaka 17 na sio kua ana miaka 17.Kwahiyo 2021 alikuwa na miaka 17, ghafla leo ana miaka 32?!
Watu wanajuana huku na wanakula na poa tuuHuwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?
Miaka ya 2009 has 2012 tulikuwa tunachangiana harus nakukutana...au tunapanga kutembelea hifidhi flani tunaenda..na kiliwahi anzishwa kikundi Cha kilimo na kununua mashamba huko bagamoyo na mkuranga(jukwaa la kilimo)..JF I'm watching Nia Sana member wake..Ninachoshangaa mkuu ni kujuana mpaka ID mnayotumia.
Ninachoshangaa mkuu ni kujuana mpaka ID mnayotumia.
... hauko salama unavyofikira simply unatumia fake id.Huwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?
Usiache kunitag kwenye huo uzi mkuuMultiple organ failure itakuwa imemuondoa binti mbichi kabisa huyu, prolong use of ARV ziliathiri figo kwa kiasi kikubwa.
All in All nikikumbuka nilivyoponea kuambukizwa HIV na memba mmoja wapo humu ndani nikaponea chuchupu hadi sasa sitaki tena kuzamia PM za watu humu ndani (Hiki ni kisa nitakileta kwenu siku yoyote nikipata nafasi) mfahamu ni kwa jinsi gani baadhi ya watu hufanya makusudi kuambukiza watu wengine.
All in all Ukimwi upo na unaua chukua tahadhari.
RIp DadaTumepokea kwa masikito makubwa taarifa za kifo cha mwenzetu jikeshupa ambaye alikuwa mwanachama wa JF Tunatoa Poleni nyingi kwa Familia yake pamoja na marafiki zake na ndugu na Jamaa ambayo wameguswa na huu msiba. jikeshupa amefariki asubuhi ya leo katika Hospital ya Kcmc Mkoani Kilimanjaro alipokuwa anapata matibabu . Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Unga LTD Arusha. Mungu ampe pumziko la milele
===============Updates
Mazishi yatafanyika siku ya Jumamosi nyumbani kwao rombo Keni ibada ya mazishi itaanza saa sita mchana .
View attachment 2106011
Miaka kumi iliyopita kuna mahali nilikuwa nafanya kazi na kuna wenzangu wawili nao walikuwa member wa JF,Huwa mnajuaje? Ina maana marafiki huwa mnapeana ID za JF?