TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

RIP, duuh hiyo gari ilivyoumia hata ni ngumu kutambua ni 'make' gani.
 
Filipo,

MKUUU UBARIKIWE SANA KWA TAARIFA UNGEWEKA NA NAMBA ZA WAHUSIKA MWENYE RAMBI RAMBI ATUME HOPE ZIWE SAHIHII....

NIMEKUWA NIKIWAZA MBONAAA ATUPEANI POLE MNS AWA MEMBER WA JF WOTE N WAZIMA

NAAMIN UMEKUWA MFANO JAMAN TUKISIKIA MEMBER KAFA TUPEANE TARIFA TUSHIRIKIANE USIZIKE KIMYA KIMYA NJIYA YA WOTE ...
Soma updates Mkuu!
 
Pumzika kwa Amani Bro,sote ni wapitaji hapa Duniani,Tumkumbuke Mungu wakati wa Ujana wetu.
 
Back
Top Bottom