Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
Hivi jina mgombea wa ubunge wa Lushoto kupitia ccm ni nani?
Mhmn!! Kama ni kweli apumzike kwa amani,kama ni siasa basi CCM hawana utu hata chembe maana tumeyaona mauaji yameshaanza kutekelezwa Mara huko kwa Wapinzani!!