Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
انا لله وانا اليه راجعون
Allah awape subra na nguvu ktk kipindi hiki kigumu .
Ccm ni wachawi saana
Binafsi nimeumizwa sana na kifo cha Mohammed Mtoi pia ni faraja kwa viongozi wa CHADEMA taifa kufika na kuifariji familia ya mpendwa wetu. Nilizoea kuona post nyingi za mshikaji wetu kipindi nikiwa Gamba na kuchangia kwa maslahi ya kichama hata kama posti ilikuwa ina mafundisho🙁🙁
RIP Kamanda Mtoi!! Harakati zako za ukombozi tutazienzi!!!!
tumia akili kidogo hata ya kuazimaccm ni wachawi saana