TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

Duuuh rest in bro, kamanda Mtoi. Sas kwa wajuzi je chama kinaruhusiwa kuweka mgombea mwingine au inakuwaje
 
Duuuh rest in bro, kamanda Mtoi. Sas kwa wajuzi je chama kinaruhusiwa kuweka mgombea mwingine au inakuwaje

..huu ni uzi wa mwaka 2015.

..Mohamedi Mtoi alikuwa mwanachama mwenzetu hapa JF.

..Vilevile alikuwa Mratibu wa kanda za Chadema, na alifariki akiwa ktk harakati za uchaguzi za mwaka 2015.

..Mohamed Mtoi alikuwa mtu muungwana sana.

..MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA.
 
Hii ndio ilikuwa engine ya chadema, tangu atangulie mbele za haki cdm imekuwa ya hovyo sana
 
Taarifa za hivi punde ni kuwa kamanda Mohamedi Mtoi amepata ajali na kufariki dunia

WAMETOKA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI TARAFA YA MLOLA.
KAMANDA MTOI AKAWAPELEKA WENZAKE MPAKA LUSHOTO MJINI KISHA AKAONDOKA KUELEKEA NYUMBANI KWAKE NDIO NJIANI GARI IKAPATA AJALI NA NDIPO KAMANDA MTOI AKAFARIKI DUNIA.

Maelezo haya yamethibitishwa na katibu wa chama wilaya Lushoto Kamanda Dulla.

========
UPDATES:
R.I.P
 
Mimi huwa nafikiri wewe ni kiongozi wa Chadema kumbe ni nyumbu tu wa JF!! Yaani Kamanda alipata ajali na kufariki 2015 ndiyo unajua leo!!!
hahahahaha wengine ni wapiga kelele tu mkuu
 
Apumzike kwa Amani
Gone too soon... Rip mdogo wangu..damu yako haitaenda bure
giphy.gif


Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom