Anonymeous
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 275
- 484
Duuuh rest in bro, kamanda Mtoi. Sas kwa wajuzi je chama kinaruhusiwa kuweka mgombea mwingine au inakuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh rest in bro, kamanda Mtoi. Sas kwa wajuzi je chama kinaruhusiwa kuweka mgombea mwingine au inakuwaje
Huu ni uzi wa mwaka 2015. Someni vyemaDuuuh rest in bro, kamanda Mtoi. Sas kwa wajuzi je chama kinaruhusiwa kuweka mgombea mwingine au inakuwaje
R.I.PTaarifa za hivi punde ni kuwa kamanda Mohamedi Mtoi amepata ajali na kufariki dunia
WAMETOKA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI TARAFA YA MLOLA.
KAMANDA MTOI AKAWAPELEKA WENZAKE MPAKA LUSHOTO MJINI KISHA AKAONDOKA KUELEKEA NYUMBANI KWAKE NDIO NJIANI GARI IKAPATA AJALI NA NDIPO KAMANDA MTOI AKAFARIKI DUNIA.
Maelezo haya yamethibitishwa na katibu wa chama wilaya Lushoto Kamanda Dulla.
========
UPDATES:
Mimi huwa nafikiri wewe ni kiongozi wa Chadema kumbe ni nyumbu tu wa JF!! Yaani Kamanda alipata ajali na kufariki 2015 ndiyo unajua leo!!!Apumzike kwa Amani
hahahahaha wengine ni wapiga kelele tu mkuuMimi huwa nafikiri wewe ni kiongozi wa Chadema kumbe ni nyumbu tu wa JF!! Yaani Kamanda alipata ajali na kufariki 2015 ndiyo unajua leo!!!
Yes Bro..alitutoka Sept 12, 2015.
Early 2015 nilikutana naye tukala Lunch akiwa ameharibikwa chopa Singida..alitutoka Sept 12, 2015.
Gone too soon... Rip mdogo wangu..damu yako haitaenda bureApumzike kwa Amani
Mwaka wa 7 Sasa , apumzike kwa amani...alitutoka Sept 12, 2015.