Tusiwe na haraka kuhitimisha, Kuna mambo ya ziada kama ugomvi na visasi, accidents, n.k.Ukifuatilia kisa utaambiwa ni mahusiano.
Upo eneo la tukio mda huu maana naona ni usiku hapo?View attachment 3174889
Mwanafunzi wa Diploma anaefahamika kwa jina la KURWA katika Chuo cha DIT amefariki baada ya kuanguka kutoka ghorofa ya 10 (jengo linaitwa teaching tower TT)
Bado hakuna taarifa ya uhakika ya kuthitisha chanzo cha kuanguka aidha kajirusha, kasukumwa, ajali, n.k.
Hakika Mkuu, itasikitisha sana ikiwa kuna mtu mwingine alihusika kukatisha maisha yake kikatili namna hii. Kama ilikuwa ni uamuzi wake pia ijulikane chanzo kilikuwa ni kitu gani.Tusiwe na haraka kuhitimisha, Kuna mambo ya ziada kama ugomvi na visasi, accidents, n.k.
Huko kwenu ni mchana??Upo eneo la tukio mda huu maana naona ni usiku hapo?
Du jengo refu hilo nikajua hapo ni Tokyo pengine jamaa alikuwa anajifunza U-batmanView attachment 3174889
Mwanafunzi wa Diploma anaefahamika kwa jina la KURWA katika Chuo cha DIT amefariki baada ya kuanguka kutoka ghorofa ya 10 (jengo linaitwa teaching tower TT)
Bado hakuna taarifa ya uhakika ya kuthitisha chanzo cha kuanguka aidha kajirusha, kasukumwa, ajali, n.k.
Tupo na majonzi ya msiba subiri kidogoUkifuatilia kisa utaambiwa ni mahusiano.
Au alikuwa anajaribu kupima ukweli wa 'g' acceleration due to gravity alioaminishwa tangu kidato cha kwanzaView attachment 3174889
Mwanafunzi wa Diploma anaefahamika kwa jina la KURWA katika Chuo cha DIT amefariki baada ya kuanguka kutoka ghorofa ya 10 (jengo linaitwa teaching tower TT)
Bado hakuna taarifa ya uhakika ya kuhitimisha kikamilifu chanzo cha kuanguka aidha kajirusha, kasukumwa, ajali, n.k.
chanzo >> DIT Instagram
Huku pamepambazuka tayari, ni saa 11 na dk 47 a:m Yan bado dakika 13 kufikia mchana kamiliHuko kwenu ni mchana??
Tusiwe na haraka kuhitimisha, Kuna mambo ya ziada kama ugomvi na visasi, accidents, n.k.
Hata mimi na hisi mapemzi yanahusika hapa!! Tz hakuna ubaguzi wa rangi ndo kiwe chanzo, labda kidogo ugumu wa maisha!! Ila mapenzi 80%, ajali 05%, ugumu wa maisha 15%Ukifuatilia kisa utaambiwa ni mahusiano.