TANZIA Mwanachuo wa DIT afariki kwa kuanguka kutoka ghorofa ya 10

TANZIA Mwanachuo wa DIT afariki kwa kuanguka kutoka ghorofa ya 10

View attachment 3174889

Mwanafunzi wa Diploma anaefahamika kwa jina la KURWA katika Chuo cha DIT amefariki baada ya kuanguka kutoka ghorofa ya 10 (jengo linaitwa teaching tower TT)

Bado hakuna taarifa ya uhakika ya kuhitimisha kikamilifu chanzo cha kuanguka aidha kajirusha, kasukumwa, ajali, n.k.

chanzo >> DIT Instagram
Pengine kasukumwa
 
Back
Top Bottom