Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Katikati ya jiji Mnazimmoja hakuna usiku, muda wote ni mchana.Upo eneo la tukio mda huu maana naona ni usiku hapo?
Pole Doto kama upo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katikati ya jiji Mnazimmoja hakuna usiku, muda wote ni mchana.Upo eneo la tukio mda huu maana naona ni usiku hapo?
Pengine kasukumwaView attachment 3174889
Mwanafunzi wa Diploma anaefahamika kwa jina la KURWA katika Chuo cha DIT amefariki baada ya kuanguka kutoka ghorofa ya 10 (jengo linaitwa teaching tower TT)
Bado hakuna taarifa ya uhakika ya kuhitimisha kikamilifu chanzo cha kuanguka aidha kajirusha, kasukumwa, ajali, n.k.
chanzo >> DIT Instagram
Msongo wa mawazo piaTusiwe na haraka kuhitimisha, Kuna mambo ya ziada kama ugomvi na visasi, accidents, n.k.
Nahisi jina sahihi ni KULWAanaefahamika kwa jina la KURWA katika Chuo cha DIT.
Hilo ndio jibu, pigia mstari.Ukifuatilia kisa utaambiwa ni mahusiano.
For sure, tatizo watu wengi wamekariri kila mtu alieanguka ghorofani kudhani kajirushaPengine kasukumwa
Au alienda juzi kwenye ibada?Ukifuatilia kisa utaambiwa ni mahusiano.
Kwa ccm ya sasa kila kitu kinawezekanaHapo kuna mawili
Kajirusha au karushwa
Ova
Maisha ya duniani mafupi sana,leo nilikuwa nawakumbuka Ally mufuruki na ZH pope,wamezima kama mshumaaKweli amtegemeae mwanadamu amelaaniwa, ukute huyu nae familia ilikuwa inamtegemea kwamba atakuja kuwa mkombozi baada ya kufika chuo kikuu...pasi kujua mwendo wake ni mfupi kama chupi, hata magotini haifiki.
Kulwa au Kurwa? Mapacha hutumia sana haya majina. Kurwa na Doto.Nahisi jina sahihi ni KULWA
Kweli kabisa, saizi watoto wa ZH Pope wapo mahakamani wanapambania haki zao zinazopokwa na mandugu digital... Binadamu ni mchanga, milima tu ndio itabaki milele, tatizo tunajisahaulisha haraka sana.Maisha ya duniani mafupi sana,leo nilikuwa nawakumbuka Ally mufuruki na ZH pope,wamezima kama mshumaa
Hapana jibu sahihi ni KULWAKulwa au Kurwa? Mapacha hutumia sana haya majina. Kurwa na Doto.
ARGAN MARAHuko kwenu ni mchana??