TANZIA Mwanachuo wa DIT afariki kwa kuanguka kutoka ghorofa ya 10

TANZIA Mwanachuo wa DIT afariki kwa kuanguka kutoka ghorofa ya 10

Kitobo kimoja kikuue? Hapana tokeni nje
Tatzo tunatofautiana ku-handle issue za mahusiano. Kuna wengine mioyo yao iko vzr kubeba matukio, na kuna wengine mioyo yao ikipigwa tukio moja tu, anafanya maamuzi ya kijinga kama kujiua/kutumia madawa ya kulevya..n.k
😺 👈hii kitu inaua watu jomba, watu wanapigana risasi kisa 😺. Watu wanadumbukia kwenye uraibu wa madawa kisa 😺. Watu wanajiua kisa 😺.
 
Tatzo tunatofautiana ku-handle issue za mahusiano. Kuna wengine mioyo yao iko vzr kubeba matukio, na kuna wengine mioyo yao ikipigwa tukio moja tu, anafanya maamuzi ya kijinga kama kujiua/kutumia madawa ya kulevya..n.k
😺 👈hii kitu inaua watu jomba, watu wanapigana risasi kisa 😺. Watu wanadumbukia kwenye uraibu wa madawa kisa 😺. Watu wanajiua kisa 😺.
Kitobo kimoja? Wakati Mimi kitobo kimoja kikizingua napita na vitobo 11, sasa kitobo kimoja kinizingue?
 
Watu wamekazana kitobo kimemuua
Kuna jamaa mmoja aliwahi kutoka mbio mara mbili tukiwa shule ya bweni, yani anatoka anaanza kukimbilia stand ya basi ni kama anakuwa na nia ya kurudi nyumbani lkn yupo usingizini.

Tulikuwa tunashtuka tunamuwahi tunamkamata tukimshtua anakuwa kama ametoka kwenye sintofahamu fulani na yeye anabaki kushangaa amepatwa na nini.
 
Kuna jamaa mmoja aliwahi kutoka mbio mara mbili tukiwa shule ya bweni, yani anatoka anaanza kukimbilia stand ya basi ni kama anakuwa na nia ya kurudi nyumbani lkn yupo usingizini.

Tulikuwa tunashtuka tunamuwahi tunamkamata tukimshtua anakuwa kama ametoka kwenye sintofahamu fulani na yeye anabaki kushangaa amepatwa na nini.
Maigizo extra kuna wenzio watasema mibange
 
Back
Top Bottom