TANZIA Mwanachuo wa DIT afariki kwa kuanguka kutoka ghorofa ya 10

TANZIA Mwanachuo wa DIT afariki kwa kuanguka kutoka ghorofa ya 10

Pengine kasukumwa
Kuna wimbi kubwa sana la vijana na afya ya akili. Hawa miaka 18-25. Wiki iliyopita kijana wa kitanzania anayesoma Kenya naye amejirusha kutoka ghorofa ya 15 ,akiacha barua kwa wazazi kuwa hapendi wao kuachana na mitafaruku ya familia nk. Vijana wa kuume hawawi encouraged kuongea au kuelezea hisia zao . Wanameza vitu.
 
Inaweza kuwa moja ya sababu lkn Sababu nyingine zinaweza kuwa:

Msongo wa mawazo

Uchovu mkubwa

Matumizi ya dawa fulani

Matatizo ya mfumo wa neva

Historia ya familia ya kurithi
Unenena vyema mkuu. Tuwa encourage vijana kuwa it's okay kujisikia vibaya na waombe ushauri, sio udhaifu kuwa depressed. Last week kijana mtanzania amejirisha Nairobi kwa stress za familia kumbe angeweza kuongea na washauri lakini amemezea hadi kajirusha na kuacha barua kwa wazazi wake wote. Tu advocate for mental health , counseling. Kuna stigma sana katika tatizo la msongo wa mawazo.
 
Unenena vyema mkuu. Tuwa encourage vijana kuwa it's okay kujisikia vibaya na waombe ushauri, sio udhaifu kuwa depressed. Last week kijana mtanzania amejirisha Nairobi kwa stress za familia kumbe angeweza kuongea na washauri lakini amemezea hadi kajirusha na kuacha barua kwa wazazi wake wote. Tu advocate for mental health , counseling. Kuna stigma sana katika tatizo la msongo wa mawazo.
Nilikuwa sijasikia hii
 
Back
Top Bottom