Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Watu wamebeba mambo mazito mioyoni mwao mkuu.Hili taifa visa vya kuumiza kila siku aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wamebeba mambo mazito mioyoni mwao mkuu.Hili taifa visa vya kuumiza kila siku aisee.
Mkuu, Nina mtu tunafahamiana tangu sekondari hadi ujanani ana hili jina, siyo Kulwa ni Kurwa boss. Kulwa? Alah.Hapana jibu sahihi ni KULWA
Achana kufahamiana na mtu, tumia kamusi kuangalia hayo maneno yana maana ipi.. ✍️ ✍️Mkuu, Nina mtu tunafahamiana tangu sekondari hadi ujanani ana hili jina, siyo Kulwa ni Kurwa boss. Kulwa? Alah.
Dah, kwani aliacha watoto wadogo hakuwa na mtoto mkubwa wa kujielewa!!; hao wanaogombania hizo mali nao pia wataziachaKweli kabisa, saizi watoto wa ZH Pope wapo mahakamani wanapambania haki zao zinazopokwa na mandugu digital... Binadamu ni mchanga, milima tu ndio itabaki milele, tatizo tunajisahaulisha haraka sana.
Inasikitisha.Watu wamebeba mambo mazito mioyoni mwao mkuu.
Aisee ww kweli NdombwindoKweli amtegemeae mwanadamu amelaaniwa, ukute huyu nae familia ilikuwa inamtegemea kwamba atakuja kuwa mkombozi baada ya kufika chuo kikuu...pasi kujua mwendo wake ni mfupi kama chupi, hata magotini haifiki.
unamaanisha upwilu sioUkifuatilia kisa utaambiwa ni mahusiano.
Kwenye kamusi hakuna Kulwa, kuna Kurwa labda uilete mkuu. Halafu kwenye baadhi ya kamusi neno Kurwa maana yake si ya kimaadili kidogo.Achana kufahamiana na mtu, tumia kamusi kuangalia hayo maneno yana maana ipi.. ✍️ ✍️
Yeah mkuu , jina sahihi ni KULWA. Ingawa hapo wamesema mara nyingi hupewa mwanamke, lakini hata mwanaume akitangulia kuzaliwa hupewa jina la KULWAKwenye kamusi hakuna Kulwa, kuna Kurwa labda uilete mkuu. Halafu kwenye baadhi ya kamusi neno Kurwa maana yake si ya kimaadili kidogo.
Ok mkuu, ila huyu nimfahamuye anaitwa Kurwa.Yeah mkuu , jina sahihi ni KULWA. Ingawa hapo wamesema mara nyingi hupewa mwanamke, lakini hata mwanaume akitangulia kuzaliwa hupewa jina la KULWA View attachment 3175235
Maisha ni kuyachukulia simple tu, hata upoteze vyote, ukiwa na uzima inatosha.Dah, kwani aliacha watoto wadogo hakuwa na mtoto mkubwa wa kujielewa!!; hao wanaogombania hizo mali nao pia wataziacha
We mbeba box rudi nyumbani msimu huu wa Holiday misiba imekua mingi umbwa wewe
Kurwa ndo sahihi kwetu watu wa kaskazini,hahahaaaasNahisi jina sahihi ni KULWA
Kumbe Ni kwa wa kike,daaaYeah mkuu , jina sahihi ni KULWA. Ingawa hapo wamesema mara nyingi hupewa mwanamke, lakini hata mwanaume akitangulia kuzaliwa hupewa jina la KULWA View attachment 3175235
Ukiskia mwanachuo kajiua, moja kwa moja chanzo ni mahusiano. 90% ya wanachuo wote TZ akili zao zinawaza mahusiano.Tusiwe na haraka kuhitimisha, Kuna mambo ya ziada kama ugomvi na visasi, accidents, n.k.
Kitobo kimoja kikuue?Ukifuatilia kisa utaambiwa ni mahusiano.
Kitobo kimoja kikuue? Hapana tokeni njeUkiskia mwanachuo kajiua, moja kwa moja chanzo ni mahusiano. 90% ya wanachuo wote TZ akili zao zinawaza mahusiano.