Mwanadada bondia Claressa Maria Shields atangaza pambano lake dhidi ya bondia wa kiume Ryan Garcia amuoneshe kazi.

Mwanadada bondia Claressa Maria Shields atangaza pambano lake dhidi ya bondia wa kiume Ryan Garcia amuoneshe kazi.

Kwenye mpira timu ya Chelsea ya wanawake kama sikosei walicheza na timu ya wanaume ya mtaani tu( sio ma pro footballer) wale wanacheza Sunday league for fun, Chelsea ladies wakala 11 mtungi (11-0)..... Hapo ndo utaelewa maana ya genetics vizuri
Mpira tofauti na boxing .

Ndio maana si ajabu kukuta timu kibonde ikiifunga timu kinara.
 
Mpira tofauti na boxing .

Ndio maana si ajabu kukuta timu kibonde ikiifunga timu kinara.
Umenielewa vizuri? Hakuna sports ambayo mwanamke atamshinda mwanaume wote wakiwa ma pro, mpira walishajaribu wachezaji watatu tu wa crystal palace timu ya kiume waliwavuruga timu ya wanawake ya crystal palace, mbio walishajaribu ikawa vichekesho, juzi Serena Williams alitaka kucheza na pro athletic wa tennis mechi watu walicheka sana mtandaoni kuna jamaa kashastaafu ana miaka karibu 60 akasema hata ye hawezi kufungwa na mwanamke, ukija kwenye ngumi sasa itakua mauaji tu hayo
 
Oya anakufa mzee mulize jamaa mmoja anaitwa dominic brazeile kama sikosei alijichanganya kwa wilder oyaaa kmmk acha kabisa masta acha kbsa na nlimuona wilder anasema “this is not a gentleman sports, this is a brutal sports, the only place where you can kill and get paid for it “ oya acha kabisa ndondi huyo demu anacheza na wanaume subiri uone
Ngoja tuone
 
Yani kibongo bongo umchukue Mfaume Mfaume umpambanishe na Zulfa Macho au Stumai Muki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hoya, mbona mwanangu mfaume sahv hapati mapambano
Ila hyo shields namkubali sana ni hatari

Ova
 
Hiii pisi nimeona akipigwa K.O na jamaa mmoja tu, tena asie na ubingwa wowote.
Ni kama ile team ya Taifa ya wanawake Uingereza kama sikosei ilivyo piga goli zaidi ya 5 bila na vijana wa shule wa under seventeen
 
Back
Top Bottom