Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Tulia weweeAcha roho chafu.
Toeni hela vijana wale bata.
Shenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia weweeAcha roho chafu.
Toeni hela vijana wale bata.
Shenzi.
Samahani mkuu....Kuna njia nyingi ya kupiga hela kwa Wazazi na sio kusingizia ujinga huo
Yupo guest alafu anawapigia simu wazazi..huyu sijui msomi wa wapi asiyejua kwamba simu zinakuwa tracked
Wa CCMSasa huyu siku awe mwanasiasa 😂😂😂
Anapenda mseleleko nyumbani Pesa zipo akaona awaibie na nyumbani ajiteke watatuma tu aendelee kunywa bia,Kijana Wa Hovyo Sana Huyo
Atapiga Pesa za miradi ya maendeleo mpaka waelewe, mabillion kadhaa yamepotea kumbe watu km hao wamejazana tu Serikalini unasikia wameitia Serikali hasara mfano mdogo ndio km huo sema wale hawasemewi kabla na hawashtakiwi kabla, issue inagundulika tayari washapiga Pesa na washaipiga Serikali hasara report inaposomwa na CAG kumbe walijishateka wenyewe kabla na Pesa washanywea biaWa CCM
Hata huko kwenye udaktari kama atafanikiwa kuupata atakuwa ni mkiukaji mkubwa wa maadili ya kazi yake kwa sababu ya tamaa na haraka ya maisha.Sasa huyu siku awe mwanasiasa 😂😂😂
Me mwenyewe nimewaza hivyo chuoni Mapenzi yanaendesha sana vijanaUkute kuna kabinti kamemwambia "usiponipa m3 mim ma wewe basi"☹️