reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Mwambaa kabisaa[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]Kamanda huyo [emoji1787][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambaa kabisaa[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]Kamanda huyo [emoji1787][emoji23]
hahahaah😂😂🙌🚶♀️🚶♀️kakutana na dem anataka crown😂
Kaona ngoja nije na MBWINU za komando kipensi 🤣😂Mwambaa kabisaa[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]
Inauma sana, mtoto wako akutapeliUtapeli kama huu uliwafanya wasukuma wakatae kusomesha watoto wao maana walikuwa wanawatapeli sana miaka hiyo ya nyuma Mtoto akienda shule anajifunza kutapeli ndugu. Wazee wakawa wanaambizana ukisomesha mtoto atakuwa mwizi anakuibia kutumia kalamu😀😀
Starehe gani kakutwa mwenyewe angekutwa hata na binti basi boya tu nae
Yaani unategemea huko lodge alikuwa mwenyewe na bia alikuwa anakunywa?
Ngumu kula raha mwenyewe!
We unajua polisi wa bongo angekuwa na demu wangeisema pia
Mshenzy kama huyu aje kuwa daktari? Ang’oe watu figo kwa tamaa ya pesa?! Fukuzilia mbali, chuo gani kikae na huyo mwehu?!Hata huko kwenye udaktari kama atafanikiwa kuupata atakuwa ni mkiukaji mkubwa wa maadili ya kazi yake kwa sababu ya tamaa na haraka ya maisha.
😅😅😅Chanzo kama sio mwanamke ni Beting
Kijana Wa Hovyo Sana Huyo
BAVICHA mojaKada wa chadema huyo