Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Jinga sana hilo dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mufti natamani nikunyonye mnduku.Tulia wewee
Mkuu kila mtu na starehe yake,pengine yeye kukaa peke yake na kunywa bia alone ndio starehe yake,Starehe gani kakutwa mwenyewe angekutwa hata na binti basi boya tu nae
unatumia akili, usipowapiga wazazi hawakupi hela...yani watoto wa sikuizi
ndo useme ulitekwaunatumia akili, usipowapiga wazazi hawakupi hela...
huyo kazidi, ila wanachuo lazima udanganye mzazi 😂ndo useme ulitekwa
naelewa, bora angesema hata anaumwa au hata tour na vitu kama hivo.. huyu amezidi kweli😅huyo kazidi, ila wanachuo lazima udanganye mzazi 😂
kakutana na dem anataka crown😂naelewa, bora angesema hata anaumwa au hata tour na vitu kama hivo.. huyu amezidi kweli😅
Kuna habari niliona sehemu ilibidi wazazi wake wauze Baiskeli.Hapo ukute wazazi wenyewe pangu pakavu, wametoka kuvuna sijui viazi mbatata.. dogo anataka kupita na faida🚮🚮
Daah...mtu Hali ya wazazi wake anaijua lkn hana hata huruma.Kuna habari niliona sehemu ilibidi wazazi wake wauze Baiskeli.
Betting [emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Chanzo kama sio mwanamke ni Beting