Mwanafunzi aumizwa vibaya baada ya kuchapwa fimbo 20 na walimu 6 Jangwani Sekondari

Wewe Ni mwafunzi tena mtukutu unajua viboko 20 wewe? Acha ujinga soma na uache kutumia simu shuleni
 
Kwenye sheria mwalimu anatakiwa kumchapa viboko vitatu tu na kwa ruhusa ya Mwalimu mkuu. Sasa ukiua mwanafunzi utaulizwa ulichapa fimbo ngapi na sheria inasemaje.
Ndo ivo fimbo tatu hazitoshi.

Hiyo sheria wala haifuatwi na sio rafiki hata kidogo na huna pa kumpeleka mwalimu akilamba mboko nyingi labda itokee bahati mbaya akamuumiza bibaya mwanafunzi.
 
NDIO,,,, Viboko visiachwe Mashuleni

Na kwanini Mkuu unasisitiza sana Viboko vitaua mtoto,,,una research ya waliokufa kwa sababu ya kuchapwa Bakora,,, kuna Watu Afya zao ni mbaya always,,,,hata ukimrusha kichura tu anaweza kufa,,,,(Hili tusiliweke kama Hoja,,,ni assumption inayoweza kutokea pande zote)....kwasababu inahusisha Afya ya anayeadhibiwa....tujadili hoja tukiwa na assumption kuwa Mwanafunzi ana Afya Njema,,hana tatizo lolote

Vilevile kila jambo lina kiasi mkuu,,,, hata hizo adhabu zingine pia zina kiasi,,, so kiasi kizingatiwe.....Nikisema Bakora zitumike sina maana mtu achapwe bakora mia tisa.,,,so tuzungumze tukizingatia haya.
 
Inatokeaga bahati mbaya tu kuchapa mpaka mtoto akapata madhara.

Na mwalimu anaejielewa hawezi kumchapa mwanafunzi maeneo hatarishi ni mikononi ama makalioni basi.
Kumchapa maeneo tofauti na hapo ni kutafuta kesi sasa.
 
zianzishwe speacial programs za kutrain walimu namna ya kuadhibu wanafunzi, viboko viwe na idadi yake na nanma ya kuchapa, kuwe na adhabu nyingine kama kuchimba mashimo ya takataka, kufanya kazi za jamii shuleni kama kufagia darasa unalosomea na wenzio, kupiga deki ofisi za walimu, kupanga vitabu library nk.....

Ifike mahala pia wazazi wawe wanaitwa mashuleni na kushauliana na walimu namna bora ya kuboresha tabia ya mtoto anayeonyesha tabia mbaya...shida nyingine huanzia majumbani....

Mwisho kabisa, Serikali iboreshe maisha ya walimi, walimu wengi wanahali duni zinazopelekea stress...
 
Ndo ivo fimbo tatu hazitoshi.

Hiyo sheria wala haifuatwi na sio rafiki hata kidogo na huna pa kumpeleka mwalimu akilamba mboko nyingi labda itokee bahati mbaya akamuumiza bibaya mwanafunzi.
Sema tu wanafunzi wengi ni wajinga wa sheria. Ila ningekuwa ni mimi nipo shule nisingechapwa fimbo zaidi ya 3. Wanafunzi wanaonewa kwa sababu ya kutojua sheria na haki zao. Cha kushangaza hata walimu wenyewe hawajui kuwa sheria inataka mwanafunzi mwisho kuchapwa fimbo 3, laiti wangekuwa wanajua wasingekuwa wanachaoa fimbo nyingi.
 
Mwalimu kama wewe watoto si ndo wangekupiga hadi dole la kati wewe!
 
Walimu huwa ni wapumbavu sana. Huwa wana mob psychology
Uwe na adabu na heshima kwa walimu. Kilikupeleka Nini kwao Kama siyo kuongeza upumbavu uliokuwa nao Hadi ukahitimu kuwa mpumbavu mkubwa Kama ulivyo?
Fanya hivi, Anza kuwaita wazazi wako wapumbavu na wako na mob psychology kwani waliiga kwa majirani waliowapeleka watoto wao shule ili wakafundishwe upumbavu nawe ukaunganishwa huko ili ukawe mpumbavu mahiri Kama ulivyo Sasa!
Mpumbavu pro max katika ubora wako!
 
Adhabu gani Duniani ambayo haitii UOGA,,,.???? zitaje hizo adhabu ambazo hazitii UOGA.....
adhabu yeyote unayoijua ambayo itamfanya mhusika akuigope na sio kumjenga kupitia hio adhabu,adhabu yeyote inayotokela kama kukomoa/kulipiza kisasa pasipo kuwa na kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…