MKUU BILA SHAKA WEWE HUJAWAI KUIBIWA MALI YOYOTE NDIO MAANA HUNA HASIRA NA WEZI.raia naobhuwa wanakurupuka wakishamwizi wa o wanawaza kuuwa tu
Binti hakuua bali alishiriki mauaji kwa kumwita mwizi!! Kifungo hakimwachiHII NI AJALI KAZINI. I HOPE BINTI HATACHUKULIWA HATUA YOYOTE YA KUUA KWA KUWA WALIOMUUA JAMAA NI WANANCHI WENYE HASIRA. POLENI SANA WAFIWA KWA KUMPOTEZA KIJANA WENU KIZEMBE HIVYO.
SIMU YENYEWE NDO HIYO ALOSHIKA MKONONI AMA? NADHANI HILI NI FUNDISHO TOSHA KWA WAKWARE WENGINE WENYE TABIA KAMA ZAKE.View attachment 325869
jamaa kaenda kwa demu wake ambaye ni mwanachuo mwenzake kakuta sms sio kwenye simu ya demu then akamuambia demu anaondoka na simu demu kampigia
mwano wa mwizi jamaa kapigwa hadi kufa
WALIMFAHAMU BAADA YA KUMUUA.Sasa wanafunzi wenzie waliompiga hawamfahamu?
DEMU SIO ALIYEMUUA "MWIZI" ILA AMEULIWA NA WANANCHI WENYE HASIRA. KOSA LA DEMU NI LIPI?Huyo dame ahame chuo hicho kwani lazima kutakua na vendeta
Nina hakika huna mpenzi siku ukipenda utarudi hapa kuomba msamahaHuyu boya kafa kwa ujinga wake. Hivi hii dunia ya leo unamuekea wivu demu ambaye hata hujamuoa, tena mbaya zaidi alizan huyo demu atakua anatia peke ake.
Mkuu kwa wengine kuona si kunaanza hivo.... aweza kuwa mmeisha kubaliana kuoana nami nadhani alichukua simu ili ajiridhishe.....Huyu boya kafa kwa ujinga wake. Hivi hii dunia ya leo unamuekea wivu demu ambaye hata hujamuoa, tena mbaya zaidi alizan huyo demu atakua anatia peke ake.
Huu Upuuzi kwa Mademu WA Saut Umezidi Sana sijui Njaa anga Mang'ana gha Ushamba Yan , afu Mafara unaendaje kuua Kijana Mwenzako Kwa Kusikia kaitwa mwizi Una uhakika Kweli ameiba ? Nguvu kazi ya Taifa na Kwa jamii Nzima imeniuma Sana kiukweli Nimekumbka na Matukio kadhaa yalowahi kutokea hapo ya aina hyo hyo basi Tu.Kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.
Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.
View attachment 325868
Kama hayo ndo mapenzi ya kuitiana wizi basi mm yamenishinda. By the way mapenzi ni two way traffic.. Kama ukiona mpaka umekuta message za utata kwenye simu ya mpenzi ako ujue hapo hupendwi, ni kuchapa lapa tu.. Alafu siku hz hakuna demu unayekula peke ako, ukitaka kula peke ako tafuta dildo ila kwa hawa mabint wa sasa hv sahau..Nina hakika huna mpenzi siku ukipenda utarudi hapa kuomba msamaha
Sijazoea KUPARAMIWA Kama Ulivyozoea Wewe Hivyo Nakusihi Tu Endelea KUPARAMIWA Na Hiyo Miwa Ya Akina Mecky Mexime Na Zubery Katwila Ambayo Naamini Ina Sukari Tamu Na ILIYOTUKUKA.