Microsoft
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 623
- 366
Hapo tayari kuna uhasama kati ya wakazi Wa hapo na wanachuoAlafu jamaa sio mwanafunzi ila ana marafiki wengi hapa chuo na pia anaishi karibu sana na chuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo tayari kuna uhasama kati ya wakazi Wa hapo na wanachuoAlafu jamaa sio mwanafunzi ila ana marafiki wengi hapa chuo na pia anaishi karibu sana na chuo
Vyuo vyote hivyo vinafundisha mass communication.
Tumia hizi fact kuelewa ukweli.Mkuu twende taratibu huenda nikapata ukweli tukio zima lilikuwaje mpaka jamaa akauawa.
Mkuu mm nazangumzia mwanza sababu nipo huku na nina shuhudia kifupi ni kwamba hamna chuo ambacho dada zetu hawajiuzi ila kwa mwanza saut ndio kina ongoza kubali kataa mimi kila weekend lazima nifanye biashara na wadada wa saut zaidi ya nane na ni tofauti,,,,na umalaya wao hukolea zaidi msimu boom limekata hawa dadazetu wakijua una kahela tu cha kumlisha sato pale charcoal ribs au malaika basi utakula mpaka [HASHTAG]#0716[/HASHTAG]
Tumia hizi fact kuelewa ukweli.
1)hostel za ndani mgeni mwisho saa 6 jioni na tukio lili tokea saa 9 usiku.
2)marehemu sio mwanafunzi wala muhitimu wa saut
3)siku ya tukio marehemu alikutwa hapo hostel ya wanawake na ilipo itiwa mwizi alikimbia.
4)anaye semekana kuwa ameibiwa hadi sasa hajapata simu yake
5)mwanamke anaye onekana kwenye picha akiwa na marehemu amemaliza chuo mwaka uliopita
6)marehemu ameshakamatwa mara moja akijaribu kuiba laptop hostel hiyo hiyo.
Kazi ni kwako
Kweli kabisa tumuombee alale pemaMuovu Yake Mauti. Tunamtakia Kila La Kheri Huko Atakapozikwa!
Ila miaka imebadilika mkuu na watu wanakuja wa kila dizaini watu kufundishwa nidhamu sio kwamba ndio watakuwa wema,Mkuu mm nafanya nao biashara waone tu wanavaa visketi vyao ila usiku ni tofauti na uwajuavyo.Sasa Kwanini UFAFANUZI Wako Huu Wa KINAFIKI Hukuusema Tokea Pale Mwanzo Hadi Nilipokupa MAKAVU Ndiyo Sasa Umeamua KUFUNGUKA? au Ulidhani Wenye SAUT Yetu TUMELALA? Hicho CHUO CHA SAUT NAKIPENDA HADI NATAKA KUKUFURU Kwani KIMENIPIKA KWA KUTUKUKA Na SITAKUBALI Niingie KABURINI Kabla SIJAKICHANGIA KWA CHOCHOTE KILE Kama AKHSANTE YANGU KWAKE. WAHADHIRI WAZURI, MAZINGIRA YA KUSOMEA NI MAZURI, NIDHAMU IMETUKUKA HALAFU WANAJUA MNO KUMJENGA MWANAFUNZI ILI AKITOKA HAPO CHUO AWE " LULU " Na AGOMBANIWE HUKO SERIKALINI Hadi Katika TAASISI. Viseme Vyuo Vikuu Vyote Ila SAUT Yangu Niachie Mwenyewe.
Hapo kwenye rangi ya bluu nikashangaa marehemu amekamatwa, kumbe ulikuwa unaelezea tukio la nyuma, dah!Tumia hizi fact kuelewa ukweli.
1)hostel za ndani mgeni mwisho saa 6 jioni na tukio lili tokea saa 9 usiku.
2)marehemu sio mwanafunzi wala muhitimu wa saut
3)siku ya tukio marehemu alikutwa hapo hostel ya wanawake na ilipo itiwa mwizi alikimbia.
4)anaye semekana kuwa ameibiwa hadi sasa hajapata simu yake
5)mwanamke anaye onekana kwenye picha akiwa na marehemu amemaliza chuo mwaka uliopita
6)marehemu ameshakamatwa mara moja akijaribu kuiba laptop hostel hiyo hiyo.
Kazi ni kwako
Hahaaa tukio la nyuma mzeeHapo kwenye rangi ya bluu nikashangaa marehemu amekamatwa, kumbe ulikuwa unaelezea tukio la nyuma, dah!
kama amepewa cha ndaniufukunyuku mwingine bana, sasa simu si yako unapekuapekua kutafuta nini? tena bila hata kujistukia eti unaibeba, ni yako?? BTW pole mhusika!!
Sasa mkuu, certificate tu uliyosomea saut ndio inakupa mbwembwe hivi! Vipi kama ungechukua bachelor pale? Halafu unaonekana umemaliza miaka miwili au mitatu nyuma kutoka sasa.Sasa Kwanini UFAFANUZI Wako Huu Wa KINAFIKI Hukuusema Tokea Pale Mwanzo Hadi Nilipokupa MAKAVU Ndiyo Sasa Umeamua KUFUNGUKA? au Ulidhani Wenye SAUT Yetu TUMELALA? Hicho CHUO CHA SAUT NAKIPENDA HADI NATAKA KUKUFURU Kwani KIMENIPIKA KWA KUTUKUKA Na SITAKUBALI Niingie KABURINI Kabla SIJAKICHANGIA KWA CHOCHOTE KILE Kama AKHSANTE YANGU KWAKE. WAHADHIRI WAZURI, MAZINGIRA YA KUSOMEA NI MAZURI, NIDHAMU IMETUKUKA HALAFU WANAJUA MNO KUMJENGA MWANAFUNZI ILI AKITOKA HAPO CHUO AWE " LULU " Na AGOMBANIWE HUKO SERIKALINI Hadi Katika TAASISI. Viseme Vyuo Vikuu Vyote Ila SAUT Yangu Niachie Mwenyewe.
Tena which is which marehemu hawezi kujiteteahuyu marehemu aliwah kunusurika kifo huko huko rugambwa hostel mwaka 2011,alijifanya mwanafunzi na kuzoeana sana na wasichana.aliiba laptop na kukimbilia kwao pale nyamalango,nzengo ilimtetea sana.huwez kuamini kwa maramoja tu katika mia mmoja aseme huyu ni mwizi,ila polisi wana taarifa zake nying za wizi.
wakati ameitiwa mwizi na kuanza kukimbia,alikuwa na kisu na kuwatishia mabinti waliokuwa wanamkimbiza.
tah teh! mapenzi ya run dunia mapenzi yana nguvu ya kunyanyua Mlima Kilimanjaro !! Mapenzi yanaumaa
Kanzisha thread ya kanusho mkuu!!Hadi sasa hakuna ukweli ilio julikana zaidi ya kila mtu kuongea lake,
Wengi wanamtetea huyu jamaa kwa usmart waje lakini ukweli kwa watu wanao mjua ni kwamba anatabia ya wizi, na amewahi kukamatwa miaka miwili iliyopita akijaribu kuiba laptop hostel hiyohiyo.
Tusi wazushie uongo madem wa SAUT kwa nature ya hili tukio huwezi sema ameuliwa na dem ila amejiua mwenyewe