Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Ukisema AFISA HABARI WA SAUT Kaongea UWONGO Ni Sawa Na KUITUKANA TAALUMA Yangu Ya PRO au CORPORATE COMMUNICATION MANAGER Ambayo INAHESHIMIKA NA KUKUBALIKA KWA KIASI KIKUBWA MNO KOTE DUNIANI. Kabla Sijakujibu Maswali Yako Naomba Kwanza UTUOMBE RADHI WANA MAAFISA MAHUSIANO / HABARI WOTE KWA KUTUDHALILISHA KUWA SISI NI WAONGO Otherwise Nikirudi KIVINGINE Hutafurahia Mkuu.
Hivi taaluma ni nini? Je, PRO na Corporate Communication Manager ni taaluma au ni posts kwa wenye taaluma?
 
Hivi taaluma ni nini? Je, PRO na Corporate Communication Manager ni taaluma au ni posts kwa wenye taaluma?

Kwanza Kabla Tu Sijakujibu Unajua Maana Ya PRO Na Corporate Communication Manager Kwa Kiswahili? Nisije Nikakujibu Kumbe Mwenzangu Hata Nilichokiandika Tu Hapo Ubongo Wako Umeshindwa " Kutohoa ". Kama Umeelewa Nitafsrie Kwanza!
 
Kwanza Kabla Tu Sijakujibu Unajua Maana Ya PRO Na Corporate Communication Manager Kwa Kiswahili? Nisije Nikakujibu Kumbe Mwenzangu Hata Nilichokiandika Tu Hapo Ubongo Wako Umeshindwa " Kutohoa ". Kama Umeelewa Nitafsrie Kwanza!
Ungejibu kwanza swali langu mkuu.
 
Mbona umepanic Mrembo?Hawa kama ni wapenzi wa muda mrefu na huenda jamaa kajipanga kumwoa na wamekubaliana hivyo.Huyo dada ndoa kwake ndiyo imeishia hapo maana damu ya mjamaa itamdai milele

Kipimo cha kupanick kwako ni nini?
 
duuuuuh unyama kweli huuu ko huyo mwanamke hakusimama kumtetea wanawake makatili hawa
 
Mkuu mm nazangumzia mwanza sababu nipo huku na nina shuhudia kifupi ni kwamba hamna chuo ambacho dada zetu hawajiuzi ila kwa mwanza saut ndio kina ongoza kubali kataa mimi kila weekend lazima nifanye biashara na wadada wa saut zaidi ya nane na ni tofauti,,,,na umalaya wao hukolea zaidi msimu boom limekata hawa dadazetu wakijua una kahela tu cha kumlisha sato pale charcoal ribs au malaika basi utakula mpaka [HASHTAG]#0716[/HASHTAG]
Kila weekend unakuja mwanza afu bado unaongelea mambo ya charcoal ribs kweli we ni wa kizamani. Hakuna mtu anayekula bata hapo mwz utampeleka charcoal ribs possibly ulikua unamaanisha jirani yake jembe ni jembe ukawa umekosea
 
Ukisema AFISA HABARI WA SAUT Kaongea UWONGO Ni Sawa Na KUITUKANA TAALUMA Yangu Ya PRO au CORPORATE COMMUNICATION MANAGER Ambayo INAHESHIMIKA NA KUKUBALIKA KWA KIASI KIKUBWA MNO KOTE DUNIANI. Kabla Sijakujibu Maswali Yako Naomba Kwanza UTUOMBE RADHI WANA MAAFISA MAHUSIANO / HABARI WOTE KWA KUTUDHALILISHA KUWA SISI NI WAONGO Otherwise Nikirudi KIVINGINE Hutafurahia Mkuu.
Mkuu kabla sijenda mbali naomba niseme wazi kwamba huu ni ubabaishaji ULIOTUKUKA
 
Kwangu mimi nakuchukulia kama mwehu, taahira, chizi tu na nilishakupuuza kitambo sana.
I absolutely agree with you. This guy is an imbecile and we should all feel pity for him and ignore all the stinking boastful statements he always makes here.
 
IMG-20160227-WA0002%255B1%255D.jpg

Habari yenu,
kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.

Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI ,watu walikuja na kupiga bila kuuliza.
mmh..
dada mwenyewe anaonekana anaroho ya nyau
 
Ungejibu kwanza swali langu mkuu.

Sasa Nitakujibu Kitu Ambacho Hata Maana Yake Tu Hujui Mkuu? Yaani UKUBWA Wote Huo Na Hivyo Bichwa Lako Lilivyo KUBWA Kama Jiwe La FATUMA Kutafsiri Tu Na Kuweka Katika Maana NYOOFU Neno Public Relations Officer au Corporate Communication Manager KUNAKUSHINDA Mkuu? Sasa Nitakusaidiaje Unadhani?
 
Back
Top Bottom