Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

SIO MWANAFUNZI HUYU

HUYU JAMAA ANAJISHUGULISHA NA MAMBO YA UPAMBAJI NA MODELLING NA ALIKUWA MMOJA WASHIRIKI WALIOPAMBA MISS ALBINISM MWANZA
 
Ksuley post: 15440733 said:
Alafu Eti Nawe Msomi!!!?? Tena Ukiwa Kijiweni Mbwembwe Kibao!! Ukijinasibu Ni Msomi Na Kuwakoga Masela Kwa "Kizungu "!! Kumbe Masela Tuna Uelewa Mzuri Tu Wa Masuala Mengi!! HIVI Kama Huyo Bint Asingepiga Mayowe Ya "Mwizi! Mwizi! Mwizi "Hao Wananchi Hiyo Hasira Yao Ingetoka Wapi Au Ingeanzaje!!?
Mkuu, masuala ya kisheria hayaamuliwi kienyeji kama unavyotaka wewe. Unadhani ni kwanini Zombe aliachiwa huru ijapokuwa yeye ndiye aliyewaamuru askari kuwaua wale wafanyabiashara? NI KWA SABABU ZOMBI HAKUSHIKA BUNDUKI KUWAUA WAFANYABIASHARA WALE. hivyo, ijapokuwa binti alipiga yowe ya "MWIZI" hakushika jiwe, fimbo, rungu wala kifaa chochote chenye ncha kali kumuua marehemu kama vile ambavyo zombe hakushika bunduki kuua. umeelewa?
 
Da rip kwake,
nakumbuka tukio kama hili liliwai kutokea kule Arusha maeneo ya nyumba za AICC kijenge, jamaa alikuwa anatembea njiani na demu wake mara wakapishana kauli dema akasema mwiziii
dk 5 watu wakafanya yao demu akabaki anaduwaaa
 
Mkuu, masuala ya kisheria hayaamuliwi kienyeji kama unavyotaka wewe. Unadhani ni kwanini Zombe aliachiwa huru ijapokuwa yeye ndiye aliyewaamuru askari kuwaua wale wafanyabiashara? NI KWA SABABU ZOMBI HAKUSHIKA BUNDUKI KUWAUA WAFANYABIASHARA WALE. hivyo, ijapokuwa binti alipiga yowe ya "MWIZI" hakushika jiwe, fimbo, rungu wala kifaa chochote chenye ncha kali kumuua marehemu kama vile ambavyo zombe hakushika bunduki kuua. umeelewa?
Sasa ikijulikana kwamba huyo msichana anamfahamu huyo marehemu,kwamba alikuwa bf wake,ila wamehitilafiana na jamaa akachukua tu simu ili 'amkomoe' ndipo demu akapiga kelele za wizi....bado tu utakuwa na huo msimamo wako?! kwa kifupi scenario niliokupa inaleta manslaughter charge kwa huyo msichana.

Wewe leo ukitaka kumkomoa mtu Tanzania hii mpigie yowe la mwizi uone kama atasalimika, huo sio uuaji?! Ukigundulika umempigia yowe la mwizi kwa chuki binafsi na sio wizi utaachiwa tu hivi hivi?! Sijui sheria ila lazima utakuwa na kesi ya kujibu.

Nachukia sana kupiga wezi na kuwachoma moto,ingawa wengi watasema sijawahi kuibiwa la hasa nimeibiwa sana lakini siafiki kuchoma mwizi moto.
 
Nachukia sana kupiga wezi na kuwachoma moto,ingawa wengi watasema sijawahi kuibiwa la hasa nimeibiwa sana lakini siafiki kuchoma mwizi moto.[/QUOTE]
Ni kweli Sio vizuri na inauma Sana mtu kuuawa kisa kijisimu cha Laki Tano, Phone versus Human life!!??. Hyo Dada Ana mkosi WA milele.
 
sipati picha kwa mtuma msg. bilashaka anatoa kilio cha furaha. pango liko wazi sasa. pole wafiwa, nzi hufia kwenye kidonda
 
Utashangaa dem mwenyewe ni mtoto wa mama salma! RPI brother kama una ndugu akalipize ur blood can't go for free .
 
Whaaat!!!! Waht a commnet waht a comment?!?!?!?!? Yaani unamtetea huyo muuaji kwani bintint huyo ndio muuaji. Inajulikana kabisa ukisema mwizi Mitanzania inavyothanmini just simu vs Soul ya mtu unajua kabisa kinachotokea nashangaa sana hawa sijui Human right whatever badala kutetea watu wanaouwawa na hii mob justice wako tu kutete viti vya upendeleo sijui nini? Huyu Msichana ni muuaji na ashtakiwe kwa kuua. Mishcana huyu ni kataili sana sana! Hii iliwahi kuotkea UDSM- Kama humtaki mtu tena si umwambie tuuuu?1 Huyu kijana alienda chumba cha msichana akapotea ( huenda alikunywa pombe) wakashout mwizi kilichomsaidia ni Kuongea kwa kiingereza ( wkt huo ngeli ilikuw issue) so akajitetea na kumtaja gilrfriend ambaye hakuwa tayari hata kumtetea kuna wat sijui wana roho za namna gani?!?!?!? Na jamani Magufuli baba yetu hili ni jipu lingine! Na hhii ilianza kidogokidogo. ohh mwizi wa mifukoni sasa hivi ninyi manaofikiria mob-justice ni kwa wizi tu sasa hivi mesambaa mpaka ajali za barabarani and in most cases huwa ni za bahati mbaya. Tuache ushabiki tupambane na Mobu Justice kwani ni Injustice!!!!
basi sawa. rai nzuri!
 
Mbona lulu anazidi kupeta tu!
mkuu, kesi za kuua haziamuliwi kirahisirahisi...mpaka kuwepo ushahidi usiotia shaka kwamba mhusika alihusika katika kuua kwa kupiga...sio kwa yowe wala kwa maneno. ndio maana hata zombe aliachiwa huru kwa kuwa hakushika bunduki kuwaua wale wafanyabiashara wa dar ijapokuwa AMRI ya kuua ilitoka kinywani mwake kama huyu binti ambavyo hakuhusika kumpiga jiwe, rungu au chochote marehemu. hii ndio maana ya KUUA kwa mujibu wa SHERIA. hata kama ukimtisha mtu mwenye shinikizo la damu akashtuka akafa, kisheria hujaua. niliwahi kushuhudia mtu amekufa baada ya kugongwa na gari kwenye ajali...daktari aliyehusika kufanya postmotem akatoa ushahidi kuwa marehemu amekufa kutokana mgando wa damu kwenye ubongo (SIO AJALI) ijapokuwa kuvuja kwa damu kulisababishwa na ajali. yule mtu aliyesababisha ajali aliachiwa huru. hivi ndivyo sheria zetu zilivyo...ukienda kichwa kichwa, inakula kwako hata kama umekosewa au kudhulumiwa uhai/mali.
 
kosa la demu ni kumpigia jamaa kelele za wizi huku akijua kabisa kuwa jamaa sio mwizi
NDIO. kama ni hukumu ya kuua basi WANANCHI WENYE HASIRA ndio watafungwa jela kwa sababu ya KUUA. demu ataachiwa huru. watu wasiojua sheria wanadhamu demu AMEUA kumbe si kweli KISHERIA.
 
Mbona lulu anazidi kupeta tu!
anapeta wapi? maruwe ruwe kila siku. damu ya mtu haiendi hivi hivi. huyo demu atajutia maisha yake yote. how do you dare to kill your inmate for dubious reasons. shit!
 
Yaani sijaona katili kama binti huyu achukuliwa hatua kali tena za kuua hata kama bila kukusudia!
mkuu, binti hachukuliwi hatua yeyote kwa 7bu hajaua...walioua ni WANANCHI WENYE HASIRA KALI SANA.
 
NDIO. kama ni hukumu ya kuua basi WANANCHI WENYE HASIRA ndio watafungwa jela kwa sababu ya KUUA. demu ataachiwa huru. watu wasiojua sheria wanadhani demu AMEUA kumbe KISHERIA hajahusika hata chembe.
 
Japokua ni unyama uyo binti alichofanya lakini ni funzo kwa wengine.!
Unaanzaje kubeba simu ya mwenzako et kisa umekuta sms???
Ukishachukua simu itakusaidia nini haswaaaaa.....hapo ukute hakuna hata senti yako iliyotumika kwenye ununuzi wa simu
Kicheche utamjua tu
 
Back
Top Bottom