Bora nmenunue ila kuliko nitumie unyonge wake na power niliyonayo kumgonga demuHilo mbona linawezekana sana, jiulize wanaouza miili yao inakuaje.
Wazee watu hovyo sana huko maofisini na wengine tupo nao humu wanatetea tetea ujinga tuBaada ya barua kuna kuitwa, hapo kwenye wito ndio kunaanzaga mambo mengi.
Kumbe we ni wale wale 😅hakuna mtoto mwenye mtoto kwaio mimi sio mtoto 😂🤣,,sema saivi nmekaa pending ata vijana nawazoom tu 😂🤣
Shida hii ipo toka Enzi za Ukoloni. Vitu kama hv zamani ilikua n siri sio kutangaza kwenye vyombo vya Habari. Yaan ukiombwa mzigo na Boss wko unakubal au kukataa kimya kimya.Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila.
Baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila Chuoni hapo kukagua miradi ya ujenzi, alifanya mkutano na Uongozi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho ambapo katika waliohusika kutoa maoni ni huyu aliyepaza sauti kuhusu rushwa ya ngono.
#milardayoupdates.
kifup vijana si wazee wote n wale wale,,Leta shuhuda jamii ijifunze.
Basi wewe mlee tu hii hoja ipo kwa wazee kuchukua watoto wa 2000 ila kwa wamama au wadada kuchukua vijana wa kiume wa 2000 na kushuka chini iyo mi sina hoja nayo naona sawa tu kikubwa muelewanesikua binti wa nyumbani that's why, kwahiyo akajua apa uhakika
Na ushahidi unao na uwezi kuuteketeza, saaafi.shindwa nawewe😂🤣,,nilishaangalia uyo kijana aseeee aseeee aseeee,, vijana wa saiv ni balaa,,nmepigwa na kitu kizito hakika sitowahi sahau🙌🏾🙌🏾🙌🏾
wala hujakosea 🤣🤣Kumbe we ni wale wale 😅
Na mbaya zaidi baada ya boss kutimiza haja yake hampi hiyo kazi.Hata kupata kazi Kwa mabint imekua changamoto sana, boss anakwambia kabisa ukiwa mchepuko wangu nitakupa kazi yenye position na salary nzuri hapa ofisin.
nililewa mkuuUmesema 2019 ulikua 19 yrs.
Vyuoni wengi wanafosiwa japo wanaojilengesha nao wapo pia.Wapo wanaojirahisisha Ila kuna wengi tu wanashinikizwa. Na kheri field kuliko vyuoni maana lecturers huwa hawataki neno HAPANA, na akilipata, atamsumbua huyo mwanafunzi hadi amkubalie au amfelishe
barua inajipeleka yenyewe,,kuna ile kuajiri mtu kwa kuangalia na physical appearanceHalf american alafu hi habari ya field hivi ni lazima mwanafunzi aende si anaweza peleka barua.
Hii nimeishuhudia mkuu, lecturer akishamuelewa student flani anaanza kumfuatilia kikawaida Ila akikataliwa ndio anaanza kutumia "ulekcha" wake kufanya hivyo. Na usichokitambua, kuna baadhi ya "lecturers" hiyo kwao ni part of fun na huwa wanahadithiana na kusaidiana.Ila hiyo ya malecture wanakuza sana tofauti na uharisia ulivo.
Mwanafunzi ndo atamtafuta lecture kwa ajili ya course work.
Hapo utasema lecture ndo mwenye shida au mwanafunzi..?
Kwani atakufanya nini? Ishi uhalisia wako wa fake ID uenjoy maisha ya humu. Usiriazi peleka huko nyuma ya keyboard kwenye real life.hapana sina,, ningekua nae ninge behave kidogo 🤣🤣we unaona hizi ni akili za kua na mahi humu?
Wapi nimevaa uhusika? Soma comments utaelewa.Pamoja na yote mbona umevaa uhusika?😂🤣🤣🤣
na ndo nafanya ivo,,au we huoni 🤣Kwani atakufanya nini? Ishi uhalisia wako wa fake ID uenjoy maisha ya humu. Usiriazi peleka huko nyuma ya keyboard kwenye real life.
Anhaa, mi mwenyewe mzee natafuta katoto ka 2000.nililewa mkuu
Kabisa Ila watu wanachukulia wachache wanaotoa rushwa za ngono kusawazisha mambo yao. Na usishangae, student kamiss mtihani au kakamatwa somo flani, lecturer ndio anatumia huo mwanya kufanya yake..Vyuoni wengi wanafosiwa japo wanaojilengesha nao wapo pia.
anhaa,,mafanikio memaAnhaa, mi mwenyewe mzee natafuta katoto ka 2000.
Wazee hovyo sana..barua inajipeleka yenyewe,,kuna ile kuajiri mtu kwa kuangalia na physical appearance