Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Hayo mambo mkuu nadhani yanafanyika collage hizi ndogo ndgo amini..

Maana kwa university mkuu uwezi kukuta lecture ana muda huo na mwanafunzi ni mara chache sana labda hao wenye hayo mambo ni hawa ma assistance na bado hawa huwa temporary tu..


Kwa miaka yangu yote niliyokaa chuo sijakutana na haya mambo au course yangu ilikua na pisi mbovu kiasi hiko
 
Binafsi nimefanya kazi Serikalini hadi nilipostaafu Kwa lazima Mwaka 2005
Babu shikamoo.

Nadhani wameona busara za wazee.

Tangu utoke ofisini miaka hiyo wakizaliwa mabinti wanaosumbuliwa na hii changamoto kuna hili la wao kuombwa rushwa ya ngono. Ushauri wako n upi, nini kifanyike kukomesha au kupunguza hali hii?
 
Awataje
 
Na moja ya ethics za kazi na ofisi nyingi ni usiri, hili nalo ni suala binafsi kudili nalo. Kwa binti mwenye akili anajua kipi sahihi afanye.
 
Sijasoma college au institute, nimesoma university na nachokiongea sio hear say. Mimi nilikuwa karibu na huyo mtu hadi screenshots nilikuwa natumiwa.

Usichokijua, students wengi hufanya hayo mambo kwa siri sana na huwa wanawahadithia watu wa karibu. Usishangae katika watu unaowajua washapitia hiyo shida Ila hawawezi kukusimulia kama huna haiba ya watu kukufungukia
 
Haipo, tatizo ni wanareport how? They need to protect anaye report maana watakuja after muhusika
Na hili ndio tatizo kubwa, mfano vyuoni walikuwa wanaenda kureport kwa dean of students, yeye anapeleka umbea wote kwa mhusika na hakuna hatua yeyote inayochukuliwa, baada ya hapo mwanafunzi anapata shida zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…