Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila.

Baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila Chuoni hapo kukagua miradi ya ujenzi, alifanya mkutano na Uongozi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho ambapo katika waliohusika kutoa maoni ni huyu aliyepaza sauti kuhusu rushwa ya ngono.


Kwakweli hili jambo lipo sehemu nyingi sana na siyo zuri wala halipaswi kuendekezwa.

(nje ya mada)
For real huyo matron wa chuo amenikera sana kitendo alichofanya as if anamsujudia huyo jamaa sio kizuri, nidhamu ya namna hiyo sio nzuri na ndio inayoleteleza upungufu wa ufanisi makazini huko.
 
Kwakweli hili jambo lipo sehemu nyingi sana na siyo zuri wala halipaswi kuendekezwa.

(nje ya mada)
For real huyo matron wa chuo amenikera sana kitendo alichofanya as if anamsujudia huyo jamaa sio kizuri, nidhamu ya namna hiyo sio nzuri na ndio inayoleteleza upungufu wa ufanisi makazini huko.
Shida ipo kwa wanaopaswa kulishughulikia hili lakini wanachukulia poa.
 
Tatizo ni shida mkuu na hali duni ya maisha ya walio wengi. Kila mtu anapambania apate kidogo cha kuyainua maisha yake. Binti anakubali kutoa rushwa ya ngono ili apate kazi itakayomuwezesha kuleta unafuu kwenye maisha yake bila kujali kuwa anakosea.

Huko kwa wenye mamlaka ya kusimamia na kufuatilia haya nao rushwa bado inatamalaki.
Naelewa mkuu
Najua wengine wametoka kwenye maisha ya chini na kuwaacha wazazi hawana kitu huku wadogo zake wana njaa
Ila huo sio ubinadamu wanaofanya watu.
Utakuta jitu lina watoto kama umri wa huyo lakini bila aibu anaomba
 
Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila.

Baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila Chuoni hapo kukagua miradi ya ujenzi, alifanya mkutano na Uongozi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho ambapo katika waliohusika kutoa maoni ni huyu aliyepaza sauti kuhusu rushwa ya ngono.
#milardayoupdates.

Pole sana watoto wetu , haya mambo si mazuri kabisa. Mtoto anayeoa mwanafunzi wa Field ajue mtoto kishachezea kichapo kwa sana sana.
 
Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila.

Baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila Chuoni hapo kukagua miradi ya ujenzi, alifanya mkutano na Uongozi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho ambapo katika waliohusika kutoa maoni ni huyu aliyepaza sauti kuhusu rushwa ya ngono.


Wababu wa vyuo hawasemwi, wa field ndio nogwa what a bias.. Njaa zitawatokea puani nonsense.
 
Back
Top Bottom