Mtemi Mbojo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 891
- 1,569
Kwa mawazo yako unadhani walimu ni rahisi kuchanga kuliko wazazi/ walezi wake??Mitoto mingine inawehukia mashuleni,kwa muktadha huo walimu pia waadhibiwe kwa kutowajibika ipaswavyo katika majukumu yao.
Hahaha............me nadhani tujitahidi kusimamia malezi ya watoto wetuWatatoka sayari ya mars mkuu,au wale watakaokosa makazi mbinguni baada ya ufufuo watarudishwa duniani kubalance ecolojia ya watu na makazi
Sharia ni sheria ,mwamba yuko under ageAdhabu hii haiwezi tosha kuwa fundisho
Si kwa ubaya, hivi "ulawiti unahusishwa na wenye majina haya ya nanii, mashariki ya Kati?Hija Hamis Msumi (16) Mwanafunzi ya Kidato cha Tatu, ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti, mkoa wa kipolisi Rufiji, amehukumiwa adhabu ya kuchapwa viboko 12, kwenye makalio mbele ya mahakama kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwanafunzi wa darasa la Nne mwenye umri wa miaka 12.
Mahakama imemuamuru mshitakiwa huyo kumlipa muhanga fidia ya Shilingi laki 5, kwa madhara ambayo amemsababishia mwanafunzi huyo ambaye jina lake limehifadhiwa.
Mahakama imesema mshitakiwa huyo alitenda kosa hilo kati ya mwezi Agosti na Novemba, 2023, huko Kijiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti.
Chanzo: ITV
WHat if hana wazazi na kwamba anajilelea mwenyewe?Kwa mawazo yako unadhani walimu ni rahisi kuchanga kuliko wazazi/ walezi wake??
Basi sawaWHat if hana wazazi na kwamba anajilelea mwenyewe?
Sio wataalamu wa Sheria tu ila wapo ambao hizo fimbo tushachapwa pia mkuuNatamani kujua hii adhabu ya viboko vya mahakama hua inatolewaje especially kwa wafungwa, je n fimbo ya kawaida au iko special? Kuna maandalizi yoyote n.k?
Humu hapakosi wataalam wa haya mambo ya sheria wanipe muongozo nielewe
MAWEED msaada wako tafadhali kama hutojali
Sio wataalamu wa Sheria tu ila wapo ambao hizo fimbo tushachapwa pia mkuuNatamani kujua hii adhabu ya viboko vya mahakama hua inatolewaje especially kwa wafungwa, je n fimbo ya kawaida au iko special? Kuna maandalizi yoyote n.k?
Humu hapakosi wataalam wa haya mambo ya sheria wanipe muongozo nielewe
MAWEED msaada wako tafadhali kama hutojali
Nimeangalia jina , nimehusisha dini flan, lakini wacha nisisseme .Mtihani wallahi
Mwambie mbunge wako apendekeze bunge libadili hiyo sheria, ila itakuwa unfair maana watu wa dini flani ndio watakuwa wanafungwa maisha.Ifikie wakati hawa wanao wafanya wenzao nyuma au hawa mende adhabu yao iwe kifo cha hadharani .ili kuleta nidhamu kwa jamii kwa maana tukienda kuwasimanga hawa walioleft bado haitasaidia
Kifo ndio dawa ya mabaradhuli na mabasha
Ile fain ya miaka 30 jela imefutwaHija Hamis Msumi (16) Mwanafunzi ya Kidato cha Tatu, ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti, mkoa wa kipolisi Rufiji, amehukumiwa adhabu ya kuchapwa viboko 12, kwenye makalio mbele ya mahakama kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwanafunzi wa darasa la Nne mwenye umri wa miaka 12.
Mahakama imemuamuru mshitakiwa huyo kumlipa muhanga fidia ya Shilingi laki 5, kwa madhara ambayo amemsababishia mwanafunzi huyo ambaye jina lake limehifadhiwa.
Mahakama imesema mshitakiwa huyo alitenda kosa hilo kati ya mwezi Agosti na Novemba, 2023, huko Kijiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti.
Chanzkumbe sasa ni fain na viboko 12 tu
Ubaradhuli hauna dini mzee ushenzi umeenea kwa wote.Mwambie mbunge wako apendekeze bunge libadili hiyo sheria, ila itakuwa unfair maana watu wa dini flani ndio watakuwa wanafungwa maisha.
Mkuu nimejisemea mimi mwenyewe!Kwamba unataka sisi baada ya kufa kusiwepo watu wengine wa kuishi?
Kwa akili za kushikiwa na ccm wala huwezi kujuwa kwamba hao wote wawili wapo under age wanalindwa na sheria ya Juvenile.Adhabu hii haiwezi tosha kuwa fundisho