Mwanafunzi wa Kidato cha 3 ahukumiwa kuchapwa viboko 12 kwa kumlawiti mwenzake

Mwanafunzi wa Kidato cha 3 ahukumiwa kuchapwa viboko 12 kwa kumlawiti mwenzake

Shida tunatoka SAA 12 tunarudi SAA 3 usiku watoto wanalelewa na dada wakazi plus English medium
Kwa kweli maisha ya Kisasa yanachangia sana mmomonyoko huu.

Maana muda mwingi Wazazi tukio busy na utafutaji.

Kingine hizi tabia za kulea mtoto peke yako i.e Single Father/Single Mother zinachangia sana pia
 
Mtu yeyote aliye chini ya miaka 18 anahesabika kama mtoto na kesi zao zinaendeshwa kulingana na sheria ya mtoto namba 21 ya 2009. Kifungu 119 (1) kinaeleza kuwa mtoto hafungwi bali anapewa adhabu mbadala. Na hata adhabu ya viboko imefutwa kwa watoto. Kwa hiyo hapo hukumu ni kifungo cha nje kikiambatana na fidia. Kiukweli sheria ya mtoto inahitaji kufanyiwa mabadiliko. Angalau kuwe na kipengele cha adhabu ya kufungwa katika gereza la vijana.
Kwahio jamaa atakuwa ana pelekea wenzake moto na kupewa adhabu ya fimbo mpka atakapo vuka 18yrs duh
 
Ndio sehemu hizi zinafanyaga nione bora serikali ingeruhusu sheria za dini zitumike full bila kuingiliwa na the so called sheria mama ya nchi wala haki za binaadam

Jitu linabaka na kulawiti lakini eti kisa umri haujafika 18yrs linaonekana toto linapewa adhabu ndogo hivyo!

Sheria ya uislamu inajikita kwenye uhalisia laiti makadhi na mamufti wangepewa uhuru kamili wa kuendesha sheria za kiisilamu zote kama zilivyo nadhani kuna mambo yangebaki historia wallaah!

Uislamu una hukumu kali sana kwa makosa haya;
Kuua
Zinaa (ushoga, usagaji, na kila aina ya uzinzi)
Wizi (utapeli, unyang'anyi/ujambazi, ufisadi nk)
 
Hija Hamis Msumi (16) Mwanafunzi ya Kidato cha Tatu, ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti, mkoa wa kipolisi Rufiji, amehukumiwa adhabu ya kuchapwa viboko 12, kwenye makalio mbele ya mahakama kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwanafunzi wa darasa la Nne mwenye umri wa miaka 12.

Mahakama imemuamuru mshitakiwa huyo kumlipa muhanga fidia ya Shilingi laki 5, kwa madhara ambayo amemsababishia mwanafunzi huyo ambaye jina lake limehifadhiwa.

Mahakama imesema mshitakiwa huyo alitenda kosa hilo kati ya mwezi Agosti na Novemba, 2023, huko Kijiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti.
Chanzo: ITV
Duuuuuuh mtihani, mtoto huyu kufikia hatua ya kufanya haya angekuwa wa mjini tungesema Smartphone huenda imechangia, lkn kwa kijiji nini chanzo?
Je shule yao ni ya boarding wanaume watupu?
 
Kwa kweli maisha ya Kisasa yanachangia sana mmomonyoko huu.

Maana muda mwingi Wazazi tukio busy na utafutaji.

Kingine hizi tabia za kulea mtoto peke yako i.e Single Father/Single Mother zinachangia sana pia
Watu wanaona fahari kuwa single mom/father

Lakini miaka kadhaa mbele kuna shida yakimalezi itatokea, yaan mtoto anakuwa anamuona mama tuu,
 
Watu wanaona fahari kuwa single mom/father

Lakini miaka kadhaa mbele kuna shida yakimalezi itatokea, yaan mtoto anakuwa anamuona mama tuu,
Ni kweli Mkuu, tunafanya kosa kubwa sana kwenye hilo

Miaka ya zamani Baba unakuta amezalisha watoto hata 12 anawatunza fresh

Lakini wababa sisi wa miaka hii, unamzalisha binti wa watu watoto wawili ama mmoja tu kisha unamtelekeza

Mwisho wa Siku analelewa na Mama Pekee

Hapo ndiyo tatizo lilipo
 
Baada ya hapo hao watu wote wawili wahamishwe makaazi wamepelekwe mbali ili waweze kuacha iyo tabia kwa kujitenga na mabaradhuli wenzake
 
Huyo dogo angekuja kwangu anipige kimoja cha kulalia badala ya kwenda kubaka.
 
Back
Top Bottom