Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

We jonalisti vipi asee.

Husemi mwanafunzi wa kike au kiume, tarehe umeigeuza pia

Huyo atakuwa ni wa kiume shehe , wakike hawezi kutaka kujiua kwasababu ya mapenzi

Akitoka hosptali , achapwe na viboko 12 ..

Ila simlaumu wazee, mapenzi ya rikapumbavu ni mabaya sana, hasa utendwe au uachwe na mwanamke wako wa kwanza.

Pole yake ..
 
Huyo atakuwa ni wa kiume shehe , wakike hawezi kutaka kujiua kwasababu ya mapenzi

Akitoka hosptali , achapwe na viboko 12 ..

Ila simlaumu wazee, mapenzi ya rikapumbavu ni mabaya sana, hasa utendwe au uachwe na mwanamke wako wa kwanza.

Pole yake ..
1.Viboko 12 vingemhusu kama ingekuwa ni kile Chuo pendwa cha Morogoro pale.
2. Hastahili kupewa pole kwani huyo kama ulivyosema ni rikapumbavu, huyo akitoka hospitali usishangae atawatambia wenzake wa rika hilohilo kwamba yeye ni mwamba.:BANGER:
 
Maisha ya chuo bwana.....
Nakumbuka kipindi nipo Univesite, nilikuwa naishi na mwanachuo yeye ana mume na Mimi Nina mke.... Tulipopanga wakawa wanajua sisi ni mume na mke....
Ningekua mwandishi mzuri ningeandika hiki kisa..
MUNGU anisamehe Kwa hari Ile
 
Huyo atakuwa ni wa kiume shehe , wakike hawezi kutaka kujiua kwasababu ya mapenzi

Akitoka hosptali , achapwe na viboko 12 ..

Ila simlaumu wazee, mapenzi ya rikapumbavu ni mabaya sana, hasa utendwe au uachwe na mwanamke wako wa kwanza.

Pole yake ..
Unataka useme mapenzi matamu kuliko ugali?
 
Maisha ya chuo bwana.....
Nakumbuka kipindi nipo Univesite, nilikuwa naishi na mwanachuo yeye ana mume na Mimi Nina mke.... Tulipopanga wakawa wanajua sisi ni mume na mke....
Ningekua mwandishi mzuri ningeandika hiki kisa..
MUNGU anisamehe Kwa hari Ile
Ulikuwa unajipigia tuu 😂
 
Maisha ya chuo bwana.....
Nakumbuka kipindi nipo Univesite, nilikuwa naishi na mwanachuo yeye ana mume na Mimi Nina mke.... Tulipopanga wakawa wanajua sisi ni mume na mke....
Ningekua mwandishi mzuri ningeandika hiki kisa..
MUNGU anisamehe Kwa hari Ile
Wanawake wengi waliopita vyuoni wana experience ya mahusiano ya ndoa kuliko wanaume ndiyo maana hata wakiolewa unakuta muda mchache sana ndoa zinaanza vurugu kwa sababu wanaendeleza walipoishia,hii inatokana na hulka ya kike kupenda sana kutunzwa so akitokea msela akamuahidi pakulala na kula kila siku a-sign uchi kwao fresh tu (in short mabinti wa chuo ni malaya wa bei rahisi)

So kwa hiyo situation hapo juu hata wewe kama ulioa msomi nae sometimes alishafanya uliyoyafanya,ni ukweli mchungu lakini ni hali halisi na ndiyo maana huwa naiambia jamii ya vijana wanaokua kwamba kama kuoa bora kuoa STD 7 form four au hata six bora anajua kusahihisha homework za watoto mengine waachie dunia iamue lakini ujinga wa kuoa wasomi huko ni kujitengenezea rabsha ambazo zingeepukika.
 
Back
Top Bottom