Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
apana kwakwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
apana kwakwel
Hongera shemapana kwakwel
asante sanaHongera shem
Utamuua alie sababisha kifo au alie kufa ndio utamuua?Mimi nikisikia mwanangu amejiua kisa mapenzi, nitaua
Sasa hivi najua mambo shwariWakati nipo chuo sikuwa na pesa, sikuwa na pamba wala swaga mademu wote wazuri wazuri walinitosa ila niliipiga moyo konde.
Akakutane na mabikra 72 na nguvu za kuwatosheleza 100Ujinga tu.
Angejiua
Hakuna msomi first yearWasomi wa Tanzania huwa siwaelewi bora amepona mungu amfanyie wepesi akili zitengamae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati nipo chuo sikuwa na pesa, sikuwa na pamba wala swaga mademu wote wazuri wazuri walinitosa ila niliipiga moyo konde.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu wazazi wanahangaika kumtafutia hela akazipopoe na hawara yake.Very childish!
Chadema wanahusika vipiii?Hivo vitoto bana vya 2000s ni fakeni kabisa, kazi kuangalia series za Tyler Perry kuona mapenzi wanayajua
ila hizi lawama wapewe chadema
Uongoo mtupuu.huyo Kijana ni Me au Ke..
Nakumbuka enzi izo za Chuo nina pisi Aru pale pale...Then Mpakani nina Pisi ya Tumaini alafu Magomeni nina Pisi ya IFM.
Vijana wa siku hizi bure kabisa.
UDSM mtu alie kisa mapenzi ana kichaa? Huo muda anautoa wapiii?Hivi UDOM Kuna nini na masuala ya Mapenzi Kila siku? Mbona hatusikii haya mambo UDSM, SAUT na kwingineko?