Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

Mapenzi yaliponizingua chuo nilienda Moro town nikatafuta manzi piga usiku kucha nikarejea fresh kabisa anyway pole kwa boychild kapewa jeraha litakalomsumbua kwa mda mrefu
 
Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza anayesoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye jina lake halijawekwa wazi inadaiwa ametaka kufanya jaribio la kujiua akiwa chuoni hapo chanzo kikitajwa ni masuala ya mapenzi.

Inaelezwa kuwa tukio hilo limetokea jana Aprili 25, 2024 wakati alipokuwa katika moja ya majengo ya chuo hicho (Block H, Collage of Education).

Taarifa za awali zimeeleza kuwa alipokorofishana na mpenzi wake litaka kujirusha kutoka Ghorofa ya Nne.

Inadaiwa amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa ajili ya matibabu baada ya kuonekana hayupo sawa.

Taarifa zaidi zitafuata.


MAELEZO YA UDOM
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa UDOM, Rose Mdami alipoulizwa amesema haya:

Taarifa za Tukio hilo ni za kweli, huyo kijana ameumia kiasi na amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa akipatiwa huduma, inadaiwa alifanya jaribio la kutaja kujiua na taarifa za awali zinaonesha kuwa chanzo ni masuala ya mapenzi.

Unajua huwa kuna changamoto ya tabia hasa kwa baadhi ya vijana hasa wa Mwaka wa Kwanza, lakini sisi kama Chuo tumeshirikisha mamlaka za kiutawala na kiusalama zinazohusika ili ziweze kufanya kazi yao.

Baada ya hapo kijana huyo akipata hali nzuri kiafya tutaingia kwenye masuala mengine yanayofuata ikiwemo ushauri wa Kisaikolojia.
huyo Kijana ni Me au Ke..
Nakumbuka enzi izo za Chuo nina pisi Aru pale pale...Then Mpakani nina Pisi ya Tumaini alafu Magomeni nina Pisi ya IFM.
Vijana wa siku hizi bure kabisa.
 
Wanawake wengi waliopita vyuoni wana experience ya mahusiano ya ndoa kuliko wanaume ndiyo maana hata wakiolewa unakuta muda mchache sana ndoa zinaanza vurugu kwa sababu wanaendeleza walipoishia,hii inatokana na hulka ya kike kupenda sana kutunzwa so akitokea msela akamuahidi pakulala na kula kila siku a-sign uchi kwao fresh tu (in short mabinti wa chuo ni malaya wa bei rahisi)

So kwa hiyo situation hapo juu hata wewe kama ulioa msomi nae sometimes alishafanya uliyoyafanya,ni ukweli mchungu lakini ni hali halisi na ndiyo maana huwa naiambia jamii ya vijana wanaokua kwamba kama kuoa bora kuoa STD 7 form four au hata six bora anajua kusahihisha homework za watoto mengine waachie dunia iamue lakini ujinga wa kuoa wasomi huko ni kujitengenezea rabsha ambazo zingeepukika.
Dah! Sasa hawa kutoka vyuo waende wapi au Itakuweaje? Wacha watu wajitumbukizemo tuu hakuna jinsi kila mtu na bahati yake.
 
Dah! Sasa hawa kutoka vyuo waende wapi au Itakuweaje? Wacha watu wajitumbukizemo tuu hakuna jinsi kila mtu na bahati yake.
Uzuri wa dunia inampa kila mmoja kile anachokitaka,hao wataangukia kwenye lile kundi linalosema haliwezi kuoa darasa la saba au mwanamke asiyefika chuo.

Na mara nyingi huja kujuta baadae.
 
Afya ya Akili
Yes, afya ya akili ya jamii, upeo mdogo wa kufuatilia kiini cha tatizo.

Wivu wa mapenzi maana yake nini, alipaswa kuacha uchoyo na ku share mapenzi na baraza la wanafunzi na walimu wa kitivo?

What if ni trauma za kabakwa? Za kulaghaiwa hela ? Kuombwa ngono na walimu ? Kuambukizwa li STD ? Kumfumania mwenzie ? Kubagazwa kwa maumbile ya ndani na nje ? What if ana kiungo kibovu?

Sio kosa lenu anyway, ni the press ndio inawaangusha. Mnajadili blindly, hamna taarifa, limwandishi moja half illiterate ndio linawafungulia mjadala na nyinyi mnatiririka mitusi ttttrrrrrrr dhidi ya suicidal teenage victim of trauma
 
Hivi UDOM Kuna nini na masuala ya Mapenzi Kila siku? Mbona hatusikii haya mambo UDSM, SAUT na kwingineko?
 
Uzuri wa dunia inampa kila mmoja kile anachokitaka,hao wataangukia kwenye lile kundi linalosema haliwezi kuoa darasa la saba au mwanamke asiyefika chuo.

Na mara nyingi huja kujuta baadae.
Kwa hiyo tuseme ni ngoma droo au siyo?
 
Huyu anaonekana ni kijana wa kiume, huyu ni hopeless kabisa hata kwenye ndoa atakuja kuteseka sana
 
Ngoja muje muambiwe jinsia ni ya kiume .....ndipo mkatapo blow

Ova
 
Back
Top Bottom