cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Yaan kisa kimejua utamu wa papuchi, eti kinataka kujiua.Watoto buana wa mwaka wa kwanza kina miaka hata 18 au 19 kinasumbuliwa na mapenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan kisa kimejua utamu wa papuchi, eti kinataka kujiua.Watoto buana wa mwaka wa kwanza kina miaka hata 18 au 19 kinasumbuliwa na mapenzi
Mambo shwari sema niko busy sana kuujenga uchumi kiasi kwamba muda wa kuenjoy na pisi Kali Sina ila hope one day nitakuwa naoSasa hivi najua mambo shwari
Tena first Year wa mwaka huu walipewa ada kiduchu sana na serikali, Hana uchungu na pesa anazoongezewa home huyu,,,mwee!Halafu wazazi wanahangaika kumtafutia hela akazipopoe na hawara yake.Very childish!
Ni kweli, block H wanakaa MeHuyo atakuwa ni wa kiume shehe , wakike hawezi kutaka kujiua kwasababu ya mapenzi
Akitoka hosptali , achapwe na viboko 12 ..
Ila simlaumu wazee, mapenzi ya rikapumbavu ni mabaya sana, hasa utendwe au uachwe na mwanamke wako wa kwanza.
Pole yake ..
MAPENZI YANA NGUVU SIO MCHEZOMwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza anayesoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye jina lake halijawekwa wazi inadaiwa ametaka kufanya jaribio la kujiua akiwa chuoni hapo chanzo kikitajwa ni masuala ya mapenzi.
Inaelezwa kuwa tukio hilo limetokea jana Aprili 25, 2024 wakati alipokuwa katika moja ya majengo ya chuo hicho (Block H, Collage of Education).
Taarifa za awali zimeeleza kuwa alipokorofishana na mpenzi wake litaka kujirusha kutoka Ghorofa ya Nne.
Inadaiwa amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa ajili ya matibabu baada ya kuonekana hayupo sawa.
Taarifa zaidi zitafuata.
MAELEZO YA UDOM
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa UDOM, Rose Mdami alipoulizwa amesema haya:
Taarifa za Tukio hilo ni za kweli, huyo kijana ameumia kiasi na amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa akipatiwa huduma, inadaiwa alifanya jaribio la kutaja kujiua na taarifa za awali zinaonesha kuwa chanzo ni masuala ya mapenzi.
Unajua huwa kuna changamoto ya tabia hasa kwa baadhi ya vijana hasa wa Mwaka wa Kwanza, lakini sisi kama Chuo tumeshirikisha mamlaka za kiutawala na kiusalama zinazohusika ili ziweze kufanya kazi yao.
Baada ya hapo kijana huyo akipata hali nzuri kiafya tutaingia kwenye masuala mengine yanayofuata ikiwemo ushauri wa Kisaikolojia.
Kila la heri mkuuMambo shwari sema niko busy sana kuujenga uchumi kiasi kwamba muda wa kuenjoy na pisi Kali Sina ila hope one day nitakuwa nao
Duuh nipe mbinu aseehuyo Kijana ni Me au Ke..
Nakumbuka enzi izo za Chuo nina pisi Aru pale pale...Then Mpakani nina Pisi ya Tumaini alafu Magomeni nina Pisi ya IFM.
Vijana wa siku hizi bure kabisa.
Ni lini tutasikia wanafunzi wa vyuo vyetu mmebuni kitu cho chote? Kila siku mnabuni hasara mbalimbali latika jamii zenu.Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza anayesoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye jina lake halijawekwa wazi inadaiwa ametaka kufanya jaribio la kujiua akiwa chuoni hapo chanzo kikitajwa ni masuala ya mapenzi.
Inaelezwa kuwa tukio hilo limetokea jana Aprili 25, 2024 wakati alipokuwa katika moja ya majengo ya chuo hicho (Block H, Collage of Education).
Taarifa za awali zimeeleza kuwa alipokorofishana na mpenzi wake litaka kujirusha kutoka Ghorofa ya Nne.
Inadaiwa amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa ajili ya matibabu baada ya kuonekana hayupo sawa.
Taarifa zaidi zitafuata.
MAELEZO YA UDOM
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa UDOM, Rose Mdami alipoulizwa amesema haya:
Taarifa za Tukio hilo ni za kweli, huyo kijana ameumia kiasi na amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa akipatiwa huduma, inadaiwa alifanya jaribio la kutaja kujiua na taarifa za awali zinaonesha kuwa chanzo ni masuala ya mapenzi.
Unajua huwa kuna changamoto ya tabia hasa kwa baadhi ya vijana hasa wa Mwaka wa Kwanza, lakini sisi kama Chuo tumeshirikisha mamlaka za kiutawala na kiusalama zinazohusika ili ziweze kufanya kazi yao.
Baada ya hapo kijana huyo akipata hali nzuri kiafya tutaingia kwenye masuala mengine yanayofuata ikiwemo ushauri wa Kisaikolojia.
Hapana unakosea siyo laana, kama ndo hivyo wanao pia laana. Jambo la msingi hapi ni tabia binafsi na kukosekana kwa hofu ya mungu kuhusu laana hata zamani mlikua mnajiua na nyie mlilaaniwaKilakitu nasema hapa jukwaani "hawa vijana waliozaliwa miaka ya 90's na 2000's ni LAANA tupu"
Vijana wa CHADEMA wapumbavu sana,huyo ni mfuasi wa BoniyaiHapana unakosea siyo laana, kama ndo hivyo wanao pia laana. Jambo la msingi hapi ni tabia binafsi na kukosekana kwa hofu ya mungu kuhusu laana hata zamani mlikua mnajiua na nyie mlilaaniwa
🤣🤣Nenda kule kwenye jukwaa la siasa maana naona hii maada imekaa kielimi zaidi, tuache tusije kushtakiwa tunakwamisha juhudi za waheshimiwa 🤣🤣Vijana wa CHADEMA wapumbavu sana,huyo ni mfuasi wa Boniyai
🤣🤣🤣Mtoto wa mwenzio ni wako 😂😅😅Waliomzuia wamekosea
Kashabuni kujiua kupitia ghorofazenu