Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

Watoto buana wa mwaka wa kwanza kina miaka hata 18 au 19 kinasumbuliwa na mapenzi
Yaan kisa kimejua utamu wa papuchi, eti kinataka kujiua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demu wake wa kutoka form IV kabebwa na mabazazi dadeq..
 
Huyo atakuwa ni wa kiume shehe , wakike hawezi kutaka kujiua kwasababu ya mapenzi

Akitoka hosptali , achapwe na viboko 12 ..

Ila simlaumu wazee, mapenzi ya rikapumbavu ni mabaya sana, hasa utendwe au uachwe na mwanamke wako wa kwanza.

Pole yake ..
Ni kweli, block H wanakaa Me
 
Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza anayesoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye jina lake halijawekwa wazi inadaiwa ametaka kufanya jaribio la kujiua akiwa chuoni hapo chanzo kikitajwa ni masuala ya mapenzi.

Inaelezwa kuwa tukio hilo limetokea jana Aprili 25, 2024 wakati alipokuwa katika moja ya majengo ya chuo hicho (Block H, Collage of Education).

Taarifa za awali zimeeleza kuwa alipokorofishana na mpenzi wake litaka kujirusha kutoka Ghorofa ya Nne.

Inadaiwa amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa ajili ya matibabu baada ya kuonekana hayupo sawa.

Taarifa zaidi zitafuata.


MAELEZO YA UDOM
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa UDOM, Rose Mdami alipoulizwa amesema haya:

Taarifa za Tukio hilo ni za kweli, huyo kijana ameumia kiasi na amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa akipatiwa huduma, inadaiwa alifanya jaribio la kutaja kujiua na taarifa za awali zinaonesha kuwa chanzo ni masuala ya mapenzi.

Unajua huwa kuna changamoto ya tabia hasa kwa baadhi ya vijana hasa wa Mwaka wa Kwanza, lakini sisi kama Chuo tumeshirikisha mamlaka za kiutawala na kiusalama zinazohusika ili ziweze kufanya kazi yao.

Baada ya hapo kijana huyo akipata hali nzuri kiafya tutaingia kwenye masuala mengine yanayofuata ikiwemo ushauri wa Kisaikolojia.
MAPENZI YANA NGUVU SIO MCHEZO
 
Matatizo Ya Kushindwa Ku-Balance Masomo Na Mapenzi.

Hawa Ndio Hata Wakihutimu Ndio Yale Yale
 
Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza anayesoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye jina lake halijawekwa wazi inadaiwa ametaka kufanya jaribio la kujiua akiwa chuoni hapo chanzo kikitajwa ni masuala ya mapenzi.

Inaelezwa kuwa tukio hilo limetokea jana Aprili 25, 2024 wakati alipokuwa katika moja ya majengo ya chuo hicho (Block H, Collage of Education).

Taarifa za awali zimeeleza kuwa alipokorofishana na mpenzi wake litaka kujirusha kutoka Ghorofa ya Nne.

Inadaiwa amelazwa Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa ajili ya matibabu baada ya kuonekana hayupo sawa.

Taarifa zaidi zitafuata.


MAELEZO YA UDOM
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa UDOM, Rose Mdami alipoulizwa amesema haya:

Taarifa za Tukio hilo ni za kweli, huyo kijana ameumia kiasi na amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa akipatiwa huduma, inadaiwa alifanya jaribio la kutaja kujiua na taarifa za awali zinaonesha kuwa chanzo ni masuala ya mapenzi.

Unajua huwa kuna changamoto ya tabia hasa kwa baadhi ya vijana hasa wa Mwaka wa Kwanza, lakini sisi kama Chuo tumeshirikisha mamlaka za kiutawala na kiusalama zinazohusika ili ziweze kufanya kazi yao.

Baada ya hapo kijana huyo akipata hali nzuri kiafya tutaingia kwenye masuala mengine yanayofuata ikiwemo ushauri wa Kisaikolojia.
Ni lini tutasikia wanafunzi wa vyuo vyetu mmebuni kitu cho chote? Kila siku mnabuni hasara mbalimbali latika jamii zenu.
Eti unajiua kwa ajili ya mapenzi....nonsense
 
Ndiyo maana MUM bakora zinatembea kama kawaida.
 
Kilakitu nasema hapa jukwaani "hawa vijana waliozaliwa miaka ya 90's na 2000's ni LAANA tupu"
Hapana unakosea siyo laana, kama ndo hivyo wanao pia laana. Jambo la msingi hapi ni tabia binafsi na kukosekana kwa hofu ya mungu kuhusu laana hata zamani mlikua mnajiua na nyie mlilaaniwa
 
Hapana unakosea siyo laana, kama ndo hivyo wanao pia laana. Jambo la msingi hapi ni tabia binafsi na kukosekana kwa hofu ya mungu kuhusu laana hata zamani mlikua mnajiua na nyie mlilaaniwa
Vijana wa CHADEMA wapumbavu sana,huyo ni mfuasi wa Boniyai
 
Back
Top Bottom