TANZIA Mwanafunzi wa mwaka wa Pili wa Chuo cha Misitu auawa kikatili

Kama ni hivyo na waliofanya Wana roho ngumu asee Kama vile wao ni waaminifu sana
Kitu nilichojifunza wanawake wengi wanachukulia poa sana hisia za watu bila kutambua ukomo wa uvumilivu unatofautiana baina ya mtu na mtu,pia kuna binadamu wengine ni wanyama sana.

Wanawake wengi wanapoumizwa hisia zao hukimbilia kwa waganga,kwa wanaume vitu ni tofauti.
 
Haya yatakuwa mapenzi tu pengine kawachanganya wavuta bange wa Kaskazini
R.I.P felista
 
Some a happy some are not.
Wengine wanakufa
Wengina wanatafutwa kwa kuua.

Dunia bado ipo na mambo mengi sana.
Tuzidi kujichunga.
 
Xmas ndio nini?
Kama uliweza kuweka paragraph kubwa hivi ulishindwa nini kuandika kwa ufasaha?
X haipo kwenye neno Christmas.
Nyie ndio mnaovaa suruali zimechanwa miguuni utadhani ni mafukara wa akili.
Ok, turudi kwenye mada.
Ulevi na uesharati ndio hupelekea vijana kufa vifo vya hali hii
 
@Kelevra
Salamu.. Naomba kama utaweza kupata detail za hiyo Premio nikimaanisha namba za gari tuwasiliane PM pls. Kuna Premio nyeupe ya Rafiki yangu imeibiwa wiki ya pili sasa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikute kala vya watu hataki kutoa mzigo, na nyodo juu, au kagonganisha mabwana wakaona wamfanyizie, ila yote kwa yote tuliachie jeshi la polisi lifanye uchunguzi na wahusika wachukuliwe hatua kali kwa unyama huu. Pumzika kwa amani binti.
 
@Kelevra
Salamu.. Naomba kama utaweza kupata detail za hiyo Premio nikimaanisha namba za gari tuwasiliane PM pls. Kuna Premio nyeupe ya Rafiki yangu imeibiwa wiki ya pili sasa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikirudi jioni nitaulizia...maana ilikua ni usiku wa saa nane na asubuhi nimepita njia nyingine.
 
Unaroho ngumu, nawewe ungenasa hapo !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…