MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Yeah!Kwamba na unaibiwa gari? AU?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah!Kwamba na unaibiwa gari? AU?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Yeah!
Oooh Mkuu, acha kuhukumu! tusibiri ripoti ya polisi kama kweli wataleta!!Raha ya kudanga ujue kukwepa vitu vyenye ncha kali
Una roho ngumu sanaDuh! aisee nimepita eneo fulani huku Goba usiku wa leo mida ya saa nane nikiwa kwa miguu...nimekuta gari Premio nyeupe imechomekwa vichakani kama inataka kuelekea mabondeni huko...nilienda kuchungulia kama kuna mtu yamemsibu nikaikuta tupu na wala haijaharika..nahisi imefanya tukio nikirudi mtaani ntaulizia kilichojiri.
Tuweni makini hizi sikukuu...RIP
Ila ndo mpaka uue?[emoji848][emoji15]Kitu nilichojifunza wanawake wengi wanachukulia poa sana hisia za watu bila kutambua ukomo wa uvumilivu unatofautiana baina ya mtu na mtu,pia kuna binadamu wengine ni wanyama sana.
Wanawake wengi wanapoumizwa hisia zao hukimbilia kwa waganga,kwa wanaume vitu ni tofauti.
Wee serious?@Kelevra
Salamu.. Naomba kama utaweza kupata detail za hiyo Premio nikimaanisha namba za gari tuwasiliane PM pls. Kuna Premio nyeupe ya Rafiki yangu imeibiwa wiki ya pili sasa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ake ina fence?Acha tuu.. Gari imeibiwa usiku Mwenyewe anasema ameamka saa 9 kuchungulia dirishani ipo.. Ile analala tena kuamka asubuhi saa 1 akadhani anaota..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna vibaka mtaani kwenu, huogopi kukabwa?We acha tu,nilikua intoxicated ndo maana,ningekua sober nisingesogea may be.
Hao lazima watanaswaNitashangaa kama Polisi wasipowakamata hao wauaji,yaani hadi wamebaka lazima kuna finger print za kutosha kwenye mwili wa marehemu.
Poleni ndugu,jamaa na marafiki.
Mmmh kumbe ndoto za ukweli eeh[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Halafu haya Mambo bhana.. Huyo Rafiki yangu mwenyewe kabla hajaibiwa gari aliota ndoto ya namna hiyo zaidi ya mara tatu.. Na mara zote alikuwa ananiambia..
Ndiyo Best.. DRW..Imeibiwa.Wee serious?
Alikuwa anapaki kwake. Miaka yote gari analaza nyumbani. Na kuna geti.Mmmh kumbe ndoto za ukweli eeh
Mazingira anayokaa yakoje?
Ndiyo ina fance..Nyumba ake ina fence?
Nimemhukumu nani? Mimi nimeleta tu kamethali kangu ka kuwakumbusha kwamba tingisha sana msambwanda Ila at your own riskOooh Mkuu, acha kuhukumu! tusibiri ripoti ya polisi kama kweli wataleta!!
Ila for Me Sio Rahisi [emoji4][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Halafu haya Mambo bhana.. Huyo Rafiki yangu mwenyewe kabla hajaibiwa gari aliota ndoto ya namna hiyo zaidi ya mara tatu.. Na mara zote alikuwa ananiambia..