TANZIA Mwanafunzi wa mwaka wa Pili wa Chuo cha Misitu auawa kikatili

TANZIA Mwanafunzi wa mwaka wa Pili wa Chuo cha Misitu auawa kikatili

Jana nimemtoa Farida hostel saa mbili usiku akanikatalia kwenda mbali. Nikamuuliza kwani huniamini siku zote hizi tunafahamiana, akaniuliza uko tuendako (ambapo hajawahi fika) ikitokea watu wanataka kumbaka nitaweza kuwazuia?

Nikamsikiliza, kwanza ningetumia gharama nyingi pia tungepoteza muda zaidi. Tulikaa karibu tukapata dinner tukadanganyana sana mpaka saa tano nikamrudisha kisha nikaenda ghetto.
 
...daah,aisee inauma kweli

Nakumbuka kuna sku moja mida ya nne ucku nilienda pata supu chapati maeneo x karibia na chuo Y...nilivyofka eneo la huduma kuna binti alikaa jirani yangu,alikuwa anaropokaropoka maneno kwa harakaharaka nkajua kibati kimecheza kichwani Ila baadae nkajagundua ni pombe ndo ilikuwa inaamfanya vile.

Sasa asubuhi natoka tu ATM nakutana na yule bint akitoa maelezo kwa afande wa lindo pale ATM...

Bint yule alikuwa ameshikilia mkononi blouse yake kuukuu nyeupe iliyolowa damu akiwa anatetemeka uku anatokwa na machozi...aisee niliumia kweli.

So pombe si nzuri kwakweli hasa kwa wanawake...kuna wajuba wakimuona bint anazubaazubaa tu kalewa pombe wanapita nae tena kwa mtungo...
 
Nitashangaa kama Polisi wasipowakamata hao wauaji,yaani hadi wamebaka lazima kuna finger print za kutosha kwenye mwili wa marehemu.

Poleni ndugu,jamaa na marafiki.
 
Kwa nnavoona Mimi ni ugomvi na ni wa mapenzi.hicho alivhofanyiwa ni kisasi

Labda alikua na mwanaume kisha akambwaga akaenda kwa mwingine,sasa inategemea yule wa mwanzo aliachana nae vipi na ni MTU wa aina gani..sasa ni kama alikua anamuwinda amkomeshe akamkodishia gang wambake kisha wamfanye hivi. Ama anatembea na mume wa mtu so siku hiyo mwenye Mali kakodi watu.

-mtu mwenye akili za kawaida hawezi kufanya hayo mauaji mwenyewe labda awe mgonjwa wa akili. Pia upigwe mtama na kundi la vibaka wakubake wakishamaliza haja zao we umezimia wanakimbia. wakuchome mwilini kuhakikisha umekufa kwa lipi?

Haya mauaji ya kukodishwa vikundi katili kwa mission moja tu kuua.hawezi Fanya mtu personally. Hata binti mmoja wa arusha makumira Ilikua hivohivo akaokotwa kwenye shamba la mpunga.
 
...Mkuu ulikuwa na haraka gani? Ungeweza kuziandika pole pole aya hizi ili zikaeleweka vyema.
Ulivyoziandika, ni maruwe ruwe matupu.!!!
 
Kwa nnavoona Mimi ni ugomvi na ni wa mapenzi.hicho alivhofanyiwa ni kisasi

Labda alikua na mwanaume kisha akambwaga akaenda kwa mwingine,sasa inategemea yule wa mwanzo aliachana nae vipi na ni MTU wa aina gani..sasa ni kama alikua anamuwinda amkomeshe akamkodishia gang wambake kisha wamfanye hivi.
unga.
speculations zozote znazoweza kumuathiri kwa namna hasi muhanga wa tukio la kihalifu kama hili hazikubaliki
 
Back
Top Bottom