TANZIA Mwanafunzi wa mwaka wa Pili wa Chuo cha Misitu auawa kikatili

TANZIA Mwanafunzi wa mwaka wa Pili wa Chuo cha Misitu auawa kikatili

Mnaongea mengi pasi na kujua tabia halisi za wachagga.

Ubakaji ni tabia iliyodumu sana miaka ya 80 mpaka 90/ huko uchagani. Walibakwa mpaka vibibi wa miaka 70 , kisha kuuwawa na macho kutobolewa na vitu vya ncha kali.

Kwaiyo wandugu hii ni tabia tu ya vijana wanapoona hawana uwezo au hadhi ya kumpata binti wanaweza kumbaka na baada ya kubaka huogopa kujulikana ndipo wanamuua.

Sio kwamba binti alikua na mahusiano ama alikula vya watu
 
Kwa nnavoona Mimi ni ugomvi na ni wa mapenzi.hicho alivhofanyiwa ni kisasi

Labda alikua na mwanaume kisha akambwaga akaenda kwa mwingine,sasa inategemea yule wa mwanzo aliachana nae vipi na ni MTU wa aina gani..sasa ni kama alikua anamuwinda amkomeshe akamkodishia gang wambake kisha wamfanye hivi. Ama anatembea na mume wa mtu so siku hiyo mwenye Mali kakodi watu.

-mtu mwenye akili za kawaida hawezi kufanya hayo mauaji mwenyewe labda awe mgonjwa wa akili. Pia upigwe mtama na kundi la vibaka wakubake wakishamaliza haja zao we umezimia wanakimbia. wakuchome mwilini kuhakikisha umekufa kwa lipi?

Haya mauaji ya kukodishwa vikundi katili kwa mission moja tu kuua.hawezi Fanya mtu personally. Hata binti mmoja wa arusha makumira Ilikua hivohivo akaokotwa kwenye shamba la mpunga.
For sure
 
Wanafunzi someni ndo kilichowapeleka huko vyuoni na starehe mtazikuta kuweni wavumilivu. By the way uchunguzi uanzie kwa waliotoka nae ili waseme waliachana nae vipi au na wa mwisho kumchukua. Ina lillahi wa ina ilayhi rajiuna.
Unaweza kuta unajilaumu Sana kwanini moyo ulisita kutoka lakini ukajilazimisha kea kuwasikiliza wenzio . Very sad na itawasumbua Sana wenzie hata Kama hawakuhusika.
 
Ametobolewa na ncha kali na pia amefanyiwa ukatili. Kwa hiyo kutobolewa na ncha kali sio ukatili.
 
Acha tuu.. Gari imeibiwa usiku Mwenyewe anasema ameamka saa 9 kuchungulia dirishani ipo.. Ile analala tena kuamka asubuhi saa 1 akadhani anaota..

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah hapo ndipo huwa namkubali mbwa aisee, nina mbwa wangu 4, kuna mmoja anapanda juu ya fensi anatulia tulii, sasa jichanganye usogelee geti... Au kama nimepitiwa na usingizi mzito halafu mtu asogelee ukuta au geti yaani watakavyobweka lazima utaamka. Wanabweka huku wanakuja dirishani na kubwekea hapo...
 
RPC anataka kumuuzia mtu kesi hapo. Eti "tunashilkilia simu za marehemu ili tumkamate aliyewasiliana naye kwa mara ya mwisho" So sad.

Intelejensia ya Tanzania ni kama ramli za waganga wa kienyeji. Full kubahatisha!
...Nami nimepashangaa halo. Ameokotwa korongoni akiwa uchi!
Hizo simu zimepatikana wapi?
Wauaji wake walimtupa na pochi lake lililokuwa na simu zake?
Hili so likuwa jambo LA kunyamaza na kulifanyia kazibkimya kimya ili wauaji wasishituke mapema??
 
Back
Top Bottom