GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Mande kwa jina jingine kama na hill hulijui wataalam wa mambo watakuja kutoa maelezo zaidiMtungo ni nini best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mande kwa jina jingine kama na hill hulijui wataalam wa mambo watakuja kutoa maelezo zaidiMtungo ni nini best
NasubirMande kwa jina jingine kama na hill hulijui wataalam wa mambo watakuja kutoa maelezo zaidi
Kuna bint wa chuo kauawa na familia kuteketea kwa moto wa gesiKilimanjaro kuna nini jamani?
Raha ya kudanga ujue kukwepa vitu vyenye ncha kali
Poleni na msibaBujibuji,
Sio Kila sehemu uweke mzaa mzee.
Hii sio taarifa za Simba yanga.....
Poleni na msiba
Ova
Na ukisoma heading za pisi kali na za kula tunda kimasihara,na una watoto wakike nguvu zinaisha kabisa.Hivi vitoto vya kike hatar SanaTunaishi kwenye jamii ambayo ukizaa mtoto wa kike badala ya kuwa na furaha kwamba Mungu amekupa malaika unaanza kuwa na hofu,wasiwasi na kukosa amani.Hii siyo sawa!
Bongo kuna forensic science ya finger prints?
Mbele huko wazee wa kazi wakiweza kunasa tu fingerprints basi upelelezi unakuwa umefanikiwa karibu 80%, kifuatacho ni kutafuta close match kwenye database...Zipo Mkuu tena kitambo sana!! Wewe si unaona ma RPC wakikamata "VYUMA" wanavaa gloves wakizishika kuwaonyesha wanahabari.
Naomba picha yake mkuu tunahitaji kuomboleza pamojaBujibuji,
Sio Kila sehemu uweke mzaa mzee.
Hii sio taarifa za Simba na yanga
Ni tukio la huzuni na lakikatili
Bila kujali wala kuhusika yapasa kupinga ukatili.
Huyu mwanafunzi ni ndugu yangu ,anitwa felister daudi anzameni.
Amesoma shule ya msingi Ngaramtoni,
Sekondari kamaliza Osiligi iliyopo karibu na Mount meru University ,
Alikuwa anaendelea na masomo
So kusema mambo ya kudanga
Ni kitu haviendani kabisa mkuu
Tuache sheria ifanye yake
Mazishi yake yatafanyika mkoani Arusha ,Wilaya Adc kijiji donyosambu.siku ya Alhamisi.
Upumzike Kwa Amani .
Mpendwa wetu .
Felister D Anzamen
Daima mbele sisi nyuma
M.P.A
Iko mambo ya ndani...mbona kuna nchi zingine ili uende lazima wjue kama una criminal recordBongo kuna forensic science ya finger prints?
Serikali ipiTumepoa mkuu ,
Ila ni ukatili wa kingono na mauaji ya kikatili
serikali isifumbe macho wala kunyamaza juu ya hili...
Binadamu tunatofautiana sana! Sio kila mmoja anaweza kuacha mambo yapite hivi hivi tuIla ndo mpaka uue?[emoji848][emoji15]
Kazingua achana nae, dunia tamu hii
Ndio sasa najiuliza Kuna Shetani gani amepita huko???.Tuombe Mungu aturehemu.Kuna bint wa chuo kauawa na familia kuteketea kwa moto wa gesi
Nimekupata mkuuBujibuji,
Sio Kila sehemu uweke mzaa mzee.
Hii sio taarifa za Simba na yanga
Ni tukio la huzuni na lakikatili
Bila kujali wala kuhusika yapasa kupinga ukatili.
Huyu mwanafunzi ni ndugu yangu ,anitwa felister daudi anzameni.
Amesoma shule ya msingi Ngaramtoni,
Sekondari kamaliza Osiligi iliyopo karibu na Mount meru University ,
Alikuwa anaendelea na masomo
So kusema mambo ya kudanga
Ni kitu haviendani kabisa mkuu
Tuache sheria ifanye yake
Mazishi yake yatafanyika mkoani Arusha ,Wilaya Adc kijiji donyosambu.siku ya Alhamisi.
Upumzike Kwa Amani .
Mpendwa wetu .
Felister D Anzamen
Daima mbele sisi nyuma
M.P.A
Kwa kweli nilikuwa sijui kama tunayo...Iko mambo ya ndani...mbona kuna nchi zingine ili uende lazima wjue kama una criminal record
Na wanakuambia ukafanye hapo mambo ya ndani majibu yako positive na negative mzee baba !
Ova
Zipo Mkuu tena kitambo sana!! Wewe si unaona ma RPC wakikamata "VYUMA" wanavaa gloves wakizishika kuwaonyesha wanahabari.