TANZIA Mwanafunzi wa mwaka wa Pili wa Chuo cha Misitu auawa kikatili

TANZIA Mwanafunzi wa mwaka wa Pili wa Chuo cha Misitu auawa kikatili

Alikuja ipata au?? Malizia bas story
Kuna sista mmoja mwanajeshi nae walimpiga hivyohivyo, kaamka saa kumi IST ipo kuamka asubuhi kaenda kuoga kajipodoa kala gwanda ile atoke nje kweupe, mbona alirukwa wazimu, akaanza kusema "ilikuwa hapahapa jamani×11"
 
Weka picha Kama pisi Kali basi wivu wa mapenzi jama wame mpiga pindo mabinti kwenye sikuku wanadata na miluzi ya wahuni
 
Wadogo zetu tulieni... mambo yote mazuri yanakuja baada ya Kumaliza mapambano.
Malizeni kwanza mapambano yaliyoko mbele yenu.
Hasara kote kote wauaji na kwa Mfiwa.
 
...daah,aisee inauma kweli

Nakumbuka kuna sku moja mida ya nne ucku nilienda pata supu chapati maeneo x karibia na chuo Y...nilivyofka eneo la huduma kuna binti alikaa jirani yangu,alikuwa anaropokaropoka maneno kwa harakaharaka nkajua kibati kimecheza kichwani Ila baadae nkajagundua ni pombe ndo ilikuwa inaamfanya vile.

Sasa asubuhi natoka tu ATM nakutana na yule bint akitoa maelezo kwa afande wa lindo pale ATM...

Bint yule alikuwa ameshikilia mkononi blouse yake kuukuu nyeupe iliyolowa damu akiwa anatetemeka uku anatokwa na machozi...aisee niliumia kweli.

So pombe si nzuri kwakweli hasa kwa wanawake...kuna wajuba wakimuona bint anazubaazubaa tu kalewa pombe wanapita nae tena kwa mtungo...
Mtungo ni nini best
 
Back
Top Bottom