T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
kama ni wivu wa mapenzi basi.....simkatalii mwanaume nikisha kula hela yake!amekwepa kitu chenye ncha butu kakimbilia chenye ncha kali
We acha tu,nilikua intoxicated ndo maana,ningekua sober nisingesogea may be.Unaroho ngumu, nawewe ungenasa hapo !
Hata mie sijazielewa.Hizi aya Mbona hazieleweki?
Anyway, R.I.P Mdada..
[emoji23][emoji23]We acha tu,nilikua intoxicated ndo maana,ningekua sober nisingesogea may be.
kabisa mkuu watu design hio hawana nafasi kwenye jamii zetuHao watapatikana tu...
Nimecheka Kama Mazuri, Niliota Ndoto Kama Hiyo Juzi, Sikulala hadi Kunakucha 😀
speculations zozote znazoweza kumuathiri kwa namna hasi muhanga wa tukio la kihalifu kama hili hazikubalikiKwa nnavoona Mimi ni ugomvi na ni wa mapenzi.hicho alivhofanyiwa ni kisasi
Labda alikua na mwanaume kisha akambwaga akaenda kwa mwingine,sasa inategemea yule wa mwanzo aliachana nae vipi na ni MTU wa aina gani..sasa ni kama alikua anamuwinda amkomeshe akamkodishia gang wambake kisha wamfanye hivi.
unga.
Kwamba na unaibiwa gari? AU?Nimecheka Kama Mazuri, Niliota Ndoto Kama Hiyo Juzi, Sikulala hadi Kunakucha 😀